FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
mh!mpendwa hapa naona GENDER HAIJAZINGATIWA
Wee FirstLady1 acha hizo. Kibamia nini bwana, kifaa ni matumizi sio ukubwa. Unaweza kuta mtwangio lakini hautumiki ipasavyo, bado utalalamika. Onja onja kwa man sio tatizo, tatizo kwa wenzetu, ile kitu ina deform halafu inapoteza ladha. Mwishowe waonjaji wa mwisho mwisho watakuwa wakionja wanatema sio kumeza tena. Inakuwa mtu uko ndani lakini wahisi uko nje.
SAMAHANI kama nimekukwaza binamu😀Sorry Binamu mie naongelea upande wa mwenza wangu kama nikimkuta hivyo...
Na wewe unaweza kuongelea upande uli mwingine ..
Binamu samahani nisije nikaharibu hii sredi
Life changes...maisha ya zamani na ya sasa ni tofauti sana...wazee wetu walikua wamejikita kwenye mila na tamaduni...so there was no urgements or what..mzee akisema hupingi..sometime ilisaidia sana..tatizo wakati wa utandawazi unaingia wazee walishindwa ku cop na situation kutransfer knowledge ya kipi kiigwe kipi kiachwe...so kizazi cha dot.com kimeingia kichwa kichwa......yaani watu wanawaza negatives than positive issues..mara nipofanya ivi..ikitokea ivi...blaa blaa kibao!! thus why nowadays ndoa zimekua ndoano!!Vipimo vyote vinapimwa sijui urefu,upana,unene nk nk
Lakni mbona bado ndoa za vijana wengi siku hizi ni balaaa na matalaka juu?.Na hao wazee wetu zamani walikuwa hawapimi kwanza na mbona walikuwa wanadumu?
Mie najiuliza sana kuna faida gani ya kupima na kutestiana kama mambo yenyewe ndo haya!
Kuonja sio issue,
when it come to ndoa, nina amini, na wengine mtakuwa mashahidi, utamu au ukawaida au u-tight au u-loose, au unene, urefu, udogo haviwi vigezo.
Nani alishaoa au kuolewa kwa sababu ameonja akakuta ni tamu sana?
Life changes...maisha ya zamani na ya sasa ni tofauti sana...wazee wetu walikua wamejikita kwenye mila na tamaduni...so there was no urgements or what..mzee akisema hupingi..sometime ilisaidia sana..tatizo wakati wa utandawazi unaingia wazee walishindwa ku cop na situation kutransfer knowledge ya kipi kiigwe kipi kiachwe...so kizazi cha dot.com kimeingia kichwa kichwa......yaani watu wanawaza negatives than positive issues..mara nipofanya ivi..ikitokea ivi...blaa blaa kibao!! thus why nowadays ndoa zimekua ndoano!!
Kuonja sio issue,
when it come to ndoa, nina amini, na wengine mtakuwa mashahidi, utamu au ukawaida au u-tight au u-loose, au unene, urefu, udogo haviwi vigezo.
Nani alishaoa au kuolewa kwa sababu ameonja akakuta ni tamu sana?
bestman alikuwa mbali?kuna jamaa alikuwa very handsome, ana tender care ya hali ya juu, mvumilivu, mtu wa dini, si mlevi, anamsaidia mama kila aina ya kazi na aliweza kufanya kila jambo ambalo kila mwanamke anatamani mwanamume wake amfanyie.
Basi jamaa alikuwa amewekeana kiapo na msichana wake kuwa hawatakutanisha viungo vyao vya harusi hadi hapo watakapofunga ndoa.
Siku ya siku ikafika, jamaa mbele ya kasisi, vigeregere, shangwe na nderemo tele, watu wako busy na kujiremba na kujipodoa, wengine mbiombio wakiandaa mpunga, alimradi kila mtu yuko busy kuipendezesha harusi.
Harusi ikafungwa salama salimini... Usiku wa majamboz ukawadia.....
Bibi arusi alikuwa anaisubiri siku hiyo kwa hamu kubwa, kuingia ulingoni janaa anakidude kama kizibo cha peni.
Bibi harusi akazimia.
wabongo ndio wangekuwa kule mbabane/swaziland,sijui kama wangeoana.vijana wa kileo, wa siku hizi,
wake kwa waume, kwanini hawaoani hadi wameonjana?
Wengine ndio wananogewa hadi wanabeba mimba kabisa?
Gooodafternoon baba,morning sahiz? vipi hangover?Good morning my people. Hapa leo mnadiskasi nini vile?
Nahemea puani! Kumbe mchana mwema tayari? Ngoja nikazimue.Gooodafternoon baba,morning sahiz? vipi hangover?
Homie pole nasikia jana ulikula ban kwa muda!!Good morning my people. Hapa leo mnadiskasi nini vile?
Homie pole nasikia jana ulikula ban kwa muda!!
We ache tu hommie. Kama si mwathirika Preta, haka ka kompyuta kangegeuka punching bag!Homie pole nasikia jana ulikula ban kwa muda!!
Unajifanya hujui? Ilikuwaje jana kwa mara ya kwanza ukatoroka kazini?hahaaaa usiniambie??? alifanyeje kwani?