Kwanini haya magari yanauzwa beni ya chini

cetterhutter

Senior Member
Joined
Sep 5, 2017
Posts
167
Reaction score
75
Habali zenu wote muliofanikiwa kuumaliza mwaka ulioisha salama sasa tunakutana tena upya ktk mwaka huu mpya wandau kiukweli nimevutiwa sana Nagar hii nataman kulinunua kutokana na nuonekano wake pia nabei yake sasa najiuliza swali pia swali langu nimeona niliwasilishe ili mnipatie majibu swali langu ni kwanini haya magari ya model hizi yanauzwa bei ndogo ukilinganisha na magari mengine hasaa ya Toyota na yamakampun mengine kama vanguard,harrier, rava 4 na escudo new model kabla sjanunua naomba ushauri wenu
 

Attachments

  • Screenshot_20180107-110121.png
    381.1 KB · Views: 197
Haya ni magar ambayo mafundi hawayapendi na likiharibika spea zake ni ghali sana
 
Hayo magari ni mazuri hayana tatizo isipokuwa tofauti na magari ya Toyota, spea za Nissan zina gharama sana na ni original, spea used/zilizotumika hazipatikani kiurahisi.

Mfano shock up ya Toyota unaweza ukakuta original ni laki na nusu ila ukapata hadi za elfu arobaini na zinasukuma.
Uzuri wa kuwa huwa haziharibiki ovyo ovyo kama unazingatia service ipasavyo
 


hilo la kwanza lakini !

nakuja kukushauri Sasa

X trial ni gari nzuri na zinauzwa bei sana, tena zaidi ya baadhi ya gari ulizotaja hapo juu, hilo gari ni third hand (after new then used in japan, also used in Tanzania) ndio maana linauzwa bei hiyo, tena nakushauri kabla hujanunua gari third hand tafuta fundi unayemwamini alitumie in 2 days akushauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…