Kwanini hayati Magufuli alijiita jiwe?

Kwanini hayati Magufuli alijiita jiwe?

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Bado naendelea kumkumbuka Rais wetu wa awamu ya tano, Field Marshall John Pombe Magufuli. Hakika maisha yake yaliwagusa watanzania wengi sana na hata kuondoka kwake kumeacha simanzi kubwa sana.

Enzi za uhai wake, hayati Magufuli alikuwa na majina mengi ya utani, kama vile Tingatinga, Chuma, Mwamba, nk hayo yote alipewa na wananchi katika kutambua uchapaji kazi wake.

Siku moja akiwa Singida (akiwa Rais tayari) akajipa jina la utani yeye mwenyewe kwa kujiita JIWE. Ni kama aliongea kwa utani lakini jina la Jiwe linaishi mpaka leo.

Kwanini alijiita jiwe? Na aliposema " sitishwi wala sitishiki" aliwalenga akina nani waliokuwa wanamtishia?
 
Ni ili unabii uweze kutimia, hakupenda yeye ila kwa kuwa alikuwa mtu wa sifa na kiburi cha uzima akadhani ni jina zuri kumbe imeandikwa hakuna jiwe juu ya jiwe litakalo salia ambalo halita bomolewa.

Na apandacho mtu ndicho atakacho vuna na aka akavuna kweli kwerii. Au nasema uongo jamani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Unawackulia hatua mafisadi bila kufuata sheria wala kutunga sheria za kuyadhibiti ukiwa umekuwa vumbi???
 
Bado naendelea kumkumbuka Rais wetu wa awamu ya tano, Field Marshall John Pombe Magufuli. Hakika maisha yake yaliwagusa watanzania wengi sana na hata kuondoka kwake kumeacha simanzi kubwa sana.

Enzi za uhai wake, hayati Magufuli alikuwa na majina mengi ya utani, kama vile Tingatinga, Chuma, Mwamba, nk hayo yote alipewa na wananchi katika kutambua uchapaji kazi wake.

Siku moja akiwa Singida (akiwa Rais tayari) akajipa jina la utani yeye mwenyewe kwa kujiita JIWE. Ni kama aliongea kwa utani lakini jina la Jiwe linaishi mpaka leo.

Kwanini alijiita jiwe? Na aliposema " sitishwi wala sitishiki" aliwalenga akina nani waliokuwa wanamtishia?
Ukitaka kujua kwanini alijiita jiwe, kapasue jiwe, uone kama ndani kuna kitu (ubongo).
 
Bado naendelea kumkumbuka Rais wetu wa awamu ya tano, Field Marshall John Pombe Magufuli. Hakika maisha yake yaliwagusa watanzania wengi sana na hata kuondoka kwake kumeacha simanzi kubwa sana.

Enzi za uhai wake, hayati Magufuli alikuwa na majina mengi ya utani, kama vile Tingatinga, Chuma, Mwamba, nk hayo yote alipewa na wananchi katika kutambua uchapaji kazi wake.

Siku moja akiwa Singida (akiwa Rais tayari) akajipa jina la utani yeye mwenyewe kwa kujiita JIWE. Ni kama aliongea kwa utani lakini jina la Jiwe linaishi mpaka leo.

Kwanini alijiita jiwe? Na aliposema " sitishwi wala sitishiki" aliwalenga akina nani waliokuwa wanamtishia?
Sifa za dikteta uchwara hizo.

Na kadiri nchi inavyokuwa inapenda kuwa na viongozi wenye sifa za kidikteta, ndivyo inavyozidi kuwa masikini.

Malecela aliwahi kuwa Tingatinga wakati Magufuli hajulikani, so nothing special there.
 
Jiwe walilolikataa waaashi limekua Jiwe kuu la pembeni...
 
Bado naendelea kumkumbuka Rais wetu wa awamu ya tano, Field Marshall John Pombe Magufuli. Hakika maisha yake yaliwagusa watanzania wengi sana na hata kuondoka kwake kumeacha simanzi kubwa sana.

Enzi za uhai wake, hayati Magufuli alikuwa na majina mengi ya utani, kama vile Tingatinga, Chuma, Mwamba, nk hayo yote alipewa na wananchi katika kutambua uchapaji kazi wake.

Siku moja akiwa Singida (akiwa Rais tayari) akajipa jina la utani yeye mwenyewe kwa kujiita JIWE. Ni kama aliongea kwa utani lakini jina la Jiwe linaishi mpaka leo.

Kwanini alijiita jiwe? Na aliposema " sitishwi wala sitishiki" aliwalenga akina nani waliokuwa wanamtishia?
Tofauti na mawe mengine, yeye alikufa
 
Bado naendelea kumkumbuka Rais wetu wa awamu ya tano, Field Marshall John Pombe Magufuli. Hakika maisha yake yaliwagusa watanzania wengi sana na hata kuondoka kwake kumeacha simanzi kubwa sana.

Enzi za uhai wake, hayati Magufuli alikuwa na majina mengi ya utani, kama vile Tingatinga, Chuma, Mwamba, nk hayo yote alipewa na wananchi katika kutambua uchapaji kazi wake.

Siku moja akiwa Singida (akiwa Rais tayari) akajipa jina la utani yeye mwenyewe kwa kujiita JIWE. Ni kama aliongea kwa utani lakini jina la Jiwe linaishi mpaka leo.

Kwanini alijiita jiwe? Na aliposema " sitishwi wala sitishiki" aliwalenga akina nani waliokuwa wanamtishia?
Jiwe huwa halina akili ndiyo maana alijiita JIWE kwa kuwa hakuwa na akili. Very simple
 
Mwamba (rock),
Jiwe na mwamba vina uimara unaofanana.

RIP JPM
 
Back
Top Bottom