Kwanini Hayati Magufuli alilidharau Bunge? Tume huru na Katiba Mpya ndio suluhisho

Kwanini Hayati Magufuli alilidharau Bunge? Tume huru na Katiba Mpya ndio suluhisho

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Mambo baadhi alikuwa anakatisha njia ya mkato bila ya kupitia Bungeni, hivi mnajiuliza kwa nini ?

Bunge hili Msilitegemee kuwaletea maendeleo ndio maana Mheshimiwa Magufuli hakulipa umuhimu kivile lilikuwepo kikatiba na si kiutekelezaji au kuwa na nguvu ya maamuzi maana Mheshimiwa Magufuli (al marhoum) alilifahamu kuwa sio bunge lililotokana na wananchi,wote walipita kwa kutumia nguvu zake yaani yeye ndio aliwapitisha kwa kila kitu.

Kwa hiyo alikuwa hawahitajii kwa lolote lile na wabunge naamini wakilijua hivyo, Anaekusaidia ndie bwana wako ,magu alikuwa Bwana wao wasingeweza kuropoka,kupinga lolote lile,na ndivyo ilivyokuwa.

Tunahitaji katiba Mpya ili utumbo uliotokeza usitokee tena,tume mbovu ya uchaguzi haina nguvu yeyote ipo ipo ,na sio mbovu bali ilisaidiwa kuwekwa pale kwa hivyo aliowasaidia ndio Bwana wao ilibidi wamtii.

Basi imetosha sasa tunahitaji tume itakayowajibika na kupatikana wabunge wanaoweza kuzungumza waliopigiwa kura na kushinda kihalali kabisa ,jamani tabu na shida ipo wapi ? Mambo mengine tunajitafutia wenyewe.

Weka tume huru anaeshinda kashinda kihalali na anaeshindwa kashindwa kihalali ,gurudumu la maendeleo lipandishwe na likitushinda tutaliekea mawe na magogo tuvute pumzi kisha kazi iendee.
 
Mtu wa karibu na Gwajima anasema, Gwajima hakuutaka hata huo ubunge. Alipigiwa simu na aliyekuwa Rais wa wakati ule na kuambiwa agombee ubunge jimbo la Kawe. Akimjibu kuwa yeye hata kadi ya CCM hana. Aliambiwa kadi itamfikia baada ya siku mbili ili awahi kuchukua fomu.

Kulichoendelea ni mazungumzo baada ya habari.
 
Mambo baadhi alikuwa anakatisha njia ya mkato bila ya kupitia Bungeni, hivi mnajiuliza kwa nini ?

Bunge hili Msilitegemee kuwaletea maendeleo ndio maana Mheshimiwa Magufuli hakulipa umuhimu kivile lilikuwepo kikatiba na si kiutekelezaji au kuwa na nguvu ya maamuzi maana Mheshimiwa Magufuli (al marhoum) alilifahamu kuwa sio bunge lililotokana na wananchi,wote walipita kwa kutumia nguvu zake yaani yeye ndio aliwapitisha kwa kila kitu...
Magufuli alikuwa anawadharau wabunge wote maana anaujua ukweli kwamba kama sio nguvu ya dola wabunge wote wasingekuwa mle bungeni
 
Mtu wa karibu na Gwajima anasema, Gwajima hakuutaka hata huo ubunge. Alipigiwa simu na aliyekuwa Rais wa wakati ule na kuambiwa agombee ubunge jimbo la Kawe. Akimjibu kuwa yeye hata kasi ya CCM hana. Aliambiwa kadi itamfikia baada ya siku mbili ili awahi kuchukua fomu.

Kulichoendelea ni mazungumzo baada ya habari.
Inaweza kuwa ni kweli
 
Alikuwa ana wasiwasi kwamba Bunge lingekuwa ni pingamizi katika udikteta wake na ubadhirifu wa pesa za walipa kodi kwa mfano katika miradi MUFILISI ya chato.
Mambo baadhi alikuwa anakatisha njia ya mkato bila ya kupitia Bungeni, hivi mnajiuliza kwa nini ?

Bunge hili Msilitegemee kuwaletea maendeleo ndio maana Mheshimiwa Magufuli hakulipa umuhimu kivile lilikuwepo kikatiba na si kiutekelezaji au kuwa na nguvu ya maamuzi maana Mheshimiwa Magufuli (al marhoum) alilifahamu kuwa sio bunge lililotokana na wananchi,wote walipita kwa kutumia nguvu zake yaani yeye ndio aliwapitisha kwa kila kitu...
 
Mtu wa karibu na Gwajima anasema, Gwajima hakuutaka hata huo ubunge. Alipigiwa simu na aliyekuwa Rais wa wakati ule na kuambiwa agombee ubunge jimbo la Kawe. Akimjibu kuwa yeye hata kadi ya CCM hana. Aliambiwa kadi itamfikia baada ya siku mbili ili awahi kuchukua fomu.

Kulichoendelea ni mazungumzo baada ya habari.
Kama wewe ni mke wa aliyepiga hiyo simu nitaamini maneno yako Ila kama nyumbu ndo wanaongea kijiweni ufipa sitaamini.
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom