bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 1,080
- 2,143
kwani wanakuwa hawana watu (management) wenye kuwasimamia kazi zao?Kutumia pesa kistaa hata pale ustaa unapoisha.
inaweza kuwa kuna ukweli hapa.It depend na ugonjwa wenyewe et
NakaziaSijamjua huyo msanii navyofahamu wasanii wengi huwa wanaumwa na wanajitibu wenyew unapotokea ugojwa mkubwa ndipo inapolazimu kuomba michango
Kuchanga michango mimi huwa naona ni kama ni utamaduni wetu waafrika haijalishi hata kama mtu anapesa
Ata wabunge bila kugharamiwa na serikali wangerudi mtaani kuomba mchango
kuchangia si jambo baya ila ukilinganisha ni vipato vyao ni sawa wao kuhitaji michango ya kugharamia matibabu?Sijamjua huyo msanii navyofahamu wasanii wengi huwa wanaumwa na wanajitibu wenyew unapotokea ugojwa mkubwa ndipo inapolazimu kuomba...
Gharamaa za matibabu huwa ni kubwa snaa Just imagine mr Ibu ilikuwa zaidi ya naira Milion 10 kwa Wiki na amelazwa zaidi ya miezi mitano...baadhi ya wasanii imeonekana kuwa wana maisha mazuri sana ila tatizo linaanza wakiugua miongoni mwao wameshindwa kumudu gharama za matibabu kupelekea kutembeza bakuli ili wapate misaada ya kugharamia matibabu yao.
nimejiuliza hili baada ya kuiona habari ya msanii mr. ibu wa nigeria.
View attachment 2812814
Mr ibu,my best comedian,Sijamjua huyo msanii navyofahamu wasanii wengi huwa wanaumwa na wanajitibu wenyew unapotokea ugojwa mkubwa ndipo inapolazimu kuomba michango
Kuchanga michango mimi huwa naona ni kama ni utamaduni wetu waafrika haijalishi hata kama mtu anapesa
Ata wabunge bila kugharamiwa na serikali wangerudi mtaani kuomba mchang
Nimekuelewa vizuri ndugu.Gharamaa za matibabu huwa ni kubwa snaa Just imagine mr Ibu ilikuwa zaidi ya naira Milion 10 kwa Wiki na amelazwa zaidi ya miezi mitano....
Kuomba kuchangiwa haimaanishi mtu hawezi kujimudu kimatibabu,DeepPond samahani naomba nikutolee mfano hypothetically lile life lako na michepuko halafu ikitokea umeugua ushindwe kujigharamia, ni sahihi kwa wewe kuchangiwa?
Surgery mara 7 jamaa kajigharamia hio ya 8 ndio imemshinda Pesa zimekata kwenye hizo surgery 7 za mwanzoIt depend na ugonjwa wenyewe et
Usije tu, nitabeba chakula nikuletee nyumbani kwako utanigomea jirani?Au kuchangiana harusi, mi ukinialika nije kwako kula na kunywa bure,kiukweli siji.
sawa ndugu.Kuomba kuchangiwa haimaanishi mtu hawezi kujimudu kimatibabu,
Ni utamaduni TU waafrika tumezoea kuishi kijamaa zaidi.
Ni Kama ilivyo kula msibani,
sio kwamba tunakua na njaa Sana ,
Bali ni sapoti tu kwa wafiwa
Au kuchangiana harusi, mi ukinialika nije kwako kula na kunywa bure,kiukweli siji.
Ila ukitoa kadi,nikachangia apo NTAKUJA.
Daaaah unaona hapo mkuu..Surgery mara 7 jamaa kajigharamia hio ya 8 ndio imemshinda Pesa zimekata kwenye hizo surgery 7 za mwanzo
Wanaishi expensive life lakini ukiwashauri wanatukana mpaka yakiwafika ndio wanarudi kwa jamii.Baadhi ya wasanii imeonekana kuwa wana maisha mazuri sana ila tatizo linaanza wakiugua miongoni mwao wameshindwa kumudu gharama za matibabu kupelekea kutembeza bakuli ili wapate misaada ya kugharamia matibabu yao.
Nimejiuliza hili baada ya kuiona habari ya msanii mr. Ibu wa Nigeria.
View attachment 2812814