Nashukuru na wewe umekumbuka hiliHa ha haaa! Aisee umenikumbusha zamani...pia shule niliyokuwa nasoma walikuwa wanasema ni matusi ila sikujua ni tusi gani...subiri Mphamvu figganigga Interest waje watujuze....
cc wa late eighties inatuhusu?View attachment 356556
Enzi nasoma shule ya msingi ukichonga tu penseli pande zote mbili utasikia "aahhhh...hayo matusi"...au wengine wanasema "wewe hiyo tabia mbaya"....Na wengine walienda mbali zaidi na kusema "Unawatukana baba na mama yako".
Sasa matusi hayo veepeee....Mimi hadi leo sielewi hata kidogo.
View attachment 356557
Hahahaaa...Watu wenye mawazo ya kiasherati kama Bujibuji utawajua. Hii kitu tumuulize mshana jr au mwenzie Mtu mzito.Ha ha haaa! Aisee umenikumbusha zamani...pia shule niliyokuwa nasoma walikuwa wanasema ni matusi ila sikujua ni tusi gani...subiri Mphamvu figganigga Interest waje watujuze....
Birthday Sept 1989Ndo kwanza napata hii taarifa hapa. Sijawahi ona wala sikia. kuhusiana na hilo.
Ndo wamaanisha!!?Birthday Sept 1989
Hayo mambo yalikuwa kabla ya hapoNdo wamaanisha!!?