matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
mfano
1: JAPAN Ilikuwa na uwezo mkubwa na ikatawala kuanzia China, Korea, na viunga vyote vya maeneo jirani na nchi hizo. Hakuna aliyefurukuta.
2: Watu wa Visiwa vya uingereza, enzi zao walitawala karibu dunia nzima. Hadi kukawa na msemo, Uingereza jua halizami, wakimaanisha likizama huku hata linakoibukia ni kwa waingereza.
3: Watu wa kakisiwa kadogo ka Taiwan, wamekuwa na uwezo mkubwa wa kiteknolojia na ushawishi mkubwa kiasi China na ukubwa wake hawawezi tena kuilazimisha ijiunge nao.
4: Shelisheli ni moja ya sehemu yenye maendeleo makubwa sana afrika wakati ni visiwa vidogo tu.
5: Moja ya miujiza mikubwa ya kihistoria ya kiuchumi ilifanyika katika visiwa vya Singapole. Brilliant Diktator mwenye asili ya china Lee Kuan Yew alifanya mambo makubwa hadi china ikatuma watu kujifunza. Hadi leo ni moja ya nchi tajiri yenye watu wenye iq kubwa wakati huko nyuma tuliwahi kukaribiana nayo kimaisha.
Chanzo ni nini?
1: JAPAN Ilikuwa na uwezo mkubwa na ikatawala kuanzia China, Korea, na viunga vyote vya maeneo jirani na nchi hizo. Hakuna aliyefurukuta.
2: Watu wa Visiwa vya uingereza, enzi zao walitawala karibu dunia nzima. Hadi kukawa na msemo, Uingereza jua halizami, wakimaanisha likizama huku hata linakoibukia ni kwa waingereza.
3: Watu wa kakisiwa kadogo ka Taiwan, wamekuwa na uwezo mkubwa wa kiteknolojia na ushawishi mkubwa kiasi China na ukubwa wake hawawezi tena kuilazimisha ijiunge nao.
4: Shelisheli ni moja ya sehemu yenye maendeleo makubwa sana afrika wakati ni visiwa vidogo tu.
5: Moja ya miujiza mikubwa ya kihistoria ya kiuchumi ilifanyika katika visiwa vya Singapole. Brilliant Diktator mwenye asili ya china Lee Kuan Yew alifanya mambo makubwa hadi china ikatuma watu kujifunza. Hadi leo ni moja ya nchi tajiri yenye watu wenye iq kubwa wakati huko nyuma tuliwahi kukaribiana nayo kimaisha.
Chanzo ni nini?