Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,385
- 10,659
Sasa imekua kero yani kero haswa! Hapa nilipo umeme umekatika Mara 3 na mpaka Sasa Hakuna umeme while last year mpk May mwaka huu ilikua TANESCO wakikata ni only one day per week Tena kwa taarifa.
Kwanini hizi pesa tunazokatwa bila ridhaa zisitumike kujenga miundo mbinu ya umeme? Tuliambiwa zinakatwa ili kujenga madarasa sasa tulipewa 1.3 trillions za Corona tukazichepusha kwenda kujenga madarasa, basi hii kodi ya miamala iboreshe umeme tuondokane na huu upuuzi wa kukata kata umeme kama bado tupo Zama za mawe za Kati!
Mnakeraaaaa
Kwanini hizi pesa tunazokatwa bila ridhaa zisitumike kujenga miundo mbinu ya umeme? Tuliambiwa zinakatwa ili kujenga madarasa sasa tulipewa 1.3 trillions za Corona tukazichepusha kwenda kujenga madarasa, basi hii kodi ya miamala iboreshe umeme tuondokane na huu upuuzi wa kukata kata umeme kama bado tupo Zama za mawe za Kati!
Mnakeraaaaa