M Mwananchi wa tanzania New Member Joined Apr 23, 2018 Posts 3 Reaction score 17 Aug 17, 2024 #1 Hivi kwa nini hospital ya Taifa ya muhimbili hakuna huduma ya Wi-fi ?
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Aug 17, 2024 #2 1. Vyuo vikuu wenyewe hawana hizo Free Wi-Fi. Sembuse Muhimbili National Hospital? 2. Wao wanatoza pesa ya maegesho na Mochwari Tu. Hayo ya WiFi labda waanzishe ya kulipia pia.
1. Vyuo vikuu wenyewe hawana hizo Free Wi-Fi. Sembuse Muhimbili National Hospital? 2. Wao wanatoza pesa ya maegesho na Mochwari Tu. Hayo ya WiFi labda waanzishe ya kulipia pia.