Kwanini hospital ya Taifa ya muhimbili hakuna huduma ya Wi-fi?

1. Vyuo vikuu wenyewe hawana hizo Free Wi-Fi. Sembuse Muhimbili National Hospital?

2. Wao wanatoza pesa ya maegesho na Mochwari Tu. Hayo ya WiFi labda waanzishe ya kulipia pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…