Kwanini hoteli za Zanzibar hazitoi risiti za TRA wakati za Bara zinatoa? Shida nini?

Kwanini hoteli za Zanzibar hazitoi risiti za TRA wakati za Bara zinatoa? Shida nini?

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Wiki mbili zilizopita nimefanikiwa kulala hotel nne tofauti. Lengo si kuwasema lengo ni watu walipe kodi nchi iendelee. Katika hotel zote hakuna hata moja inayotoa risiti za TRA na unalipa 85000+.

Nikianza na hii ya five star hapo Darajani nyingine kule Nungwi. Nyingine iko pale Kilimani opposite na faya ya Zanzibar. Tena wanakujibu makavu hatuna risiti za TRA, nawaza tu hivi nayo si Tanzania ama. Mbona hivi eti sisi ni nani bara tulipe kodi wao wasilipe, nashauri serikali ya Zanzibar muwe makini na hili mtapata hasara sana.

Hizi mnazoona fly-over bara hazijengwi na maji ni kodi za wananchi, ni vyema mkawa serious kukusanya kodi. Nimepita pale bandarini kuna baadhi ya ofisi wanapokea mpaka laki mbili na hawatoi risiti za TRA. Hii ni hatari sana msiturudishe tullipotoka.

Kampuni hiyo hiyo ya usafiri ukitokea Bara ukilipa unapewa na risiti za TRA, why?
 
Elimu,Elimu,Elimu.
Pitia tena uzi wako harafu rekebisha sehemu fulani fulani mkuu.
Anza na kichwa cha habari.
 
Wale Zanzibar wana bodi yao ya mapato ZRB, hivyo wana system yao tusiwapangie
 
BASIASI, JIBU:

BismiLLaah wa AlhamduliLLaah was-Swalaatu wa Salaamu ‘alaa Muhammad wa ‘alaa aalihi wa Aswhaabihil Kiraam, wa ba’ad:

Inaonyesha kutokana na usemi wako kwamba yanayokutoka ni 'madhiy' na sio 'maniy'. Na kuna tofauti katika vitu hivi viwili kama ifuatavyo:

A-Tofauti zao kuhusu sifa zake:

Manii

Shahawa (manii) ya mwanamume ni maji meupe mazito. Kwa mwanamke ni ya rangi ya manjano na mepesi. Manii kwa kawaida huwa ni maji yanayotokwa kwa mwanamume au mwanamke wakati wa kilele cha raha wakati wa mapenzi.

Dalili ya sifa hiyo ya manii ni kutoka:
 
Back
Top Bottom