Kwanini hujatoboa mpaka leo?

Kwanini hujatoboa mpaka leo?

Strong25

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2021
Posts
394
Reaction score
834
Najiulizaga sana, ama wewe hujiulizagi?

Kwenye biashara ama mishe hio hio unayofanya miaka nenda rudi unaishia kupata hela yakula tu

Ila anakuja mtu moja wala hana uzoefu kiviile nahio biashara ama kazi

Ila kwamuda mfupi tu mambo yake yamenyooka

Matajiri wa jf mtuambie nimbinu mnazitumia kuchezesha hapo __kwamuda mfupi tu mtu kafungua kiduka kidogo dogo mara gafla tu limekua duka la jumla mara kashanza kujenga mara kashanunua gari mara mara tayari duka nikubwa kabisa anashusha mzigo kwa mafuso

Nawasilisha
 
Najiulizaga sana, ama wewe hujiulizagi?

Kwenye biashara ama mishe hio hio unayofanya miaka nenda rudi unaishia kupata hela yakula tu

Ila anakuja mtu moja wala hana uzoefu kiviile nahio biashara ama kazi

Ila kwamuda mfupi tu mambo yake yamenyooka

Matajiri wa jf mtuambie nimbinu mnazitumia kuchezesha hapo __kwamuda mfupi tu mtu kafungua kiduka kidogo dogo mara gafla tu limekua duka la jumla mara kashanza kujenga mara kashanunua gari mara mara tayari duka nikubwa kabisa anashusha mzigo kwa mafuso

Nawasilisha
Ni muhimu mjadala kama huu usiachwe ukaenda hivi hivi
 
sio kweli
Ni kweli tupu kijana.

Hawa matajiri unaowaona mjini.

Ni dhulumati, matapeli , majambazi na wezi waliokubuhu.

Ila mbele ya jamii hujifanya wema.

Na wakishafanikiwa huwa karibu mno na jamii, watawekeza kwenye biashara halali na watakua karibu na viongozi wa dini ila ni washirikina na watu wabaya ajabu.
 
Back
Top Bottom