Kabisa mkuuKing LEO is brilliant... nahisi huwa ni Allien
13SEPTEMBER
HaaahaahaaahaaahCr7 hanaga tofauti na Datius dogo mmoja anachezaga winga STAND UNITED
mkuu unaongea kwenye ukweli sas hahahaCr7 hanaga tofauti na Datius dogo mmoja anachezaga winga STAND UNITED
hahah cr7 mzee wa kuvizia uyu namfananisha na jamaaa moja kule tukuyu anaitwa angasisyeNi ukweli ulio wazi kuwa cloning ikifanyika kwa Messi kuna high chance ya kumpata Messi aliyekamilika kwa asilimia 100. Ila imifanyila kwa ronaldo anaweza akatokea binadamu mchezaj wa kawaida kama akina Rafael boko, Ajib Migomba na labda lukaku
Sent using Jamii Forums mobile app
King Messi anaongoza kwa assist na magoli ya kufunga
Nashukuru Mungu kwa kunifanya nimsuhudie huyu fundi chuma Messi
Nimepata kuwashuhudia wachezaji wengi wa zamani. Ila bado na bado hatatokea kiumbe kama Messi....narudia tena na tena...hatatokea kiumbe kama Messi..
Mahabayadhati.co.tzNimepata kuwashuhudia wachezaji wengi wa zamani. Ila bado na bado hatatokea kiumbe kama Messi....narudia tena na tena...hatatokea kiumbe kama Messi..