Kwanini huyu msanii nyimbo zake nyingi anahamasisha ngono zaidi?

Kwanini huyu msanii nyimbo zake nyingi anahamasisha ngono zaidi?

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Niliuliza swali humu JF,

Kwanini huyu msanii wetu mkubwa anaimba sana nyimbo za kuhamasisha ngono tena kinyume na maumbile. kwa wakati ule sikupata jibu, sasa jibu limepatikana, ila ninacho msii kwa sasa abadilike aache huo ushetani.

Asitumie usanii na umaarufu wake kuipotosha na kukiangamiza kizazi. Msanii ni kioo cha jamii.

Hatahivyo bora nife masikini kuliko kutafuta utajiri au vyeo kwa njia za kishetani.
 
Niliuliza swali humu JF kwanini huyu msanii wetu mkubwa anaimba sana nyimbo za kuhamasisha ngono tena kinyume na maumbile. kwa wakati ule sikupata jibu, sasa jibu limepatikana, ila ninacho msii kwa sasa abadilike aache huo ushetani....asitumie usanii na umaarufu wake kuipotosha na kukiangamiza kizazi.
Msanii ni kioo cha jamii.
Hatahivyo bora nife masikini kuliko kutafuta utajiri au vyeo kwa njia za kishetani.
Usipomtaja kulikuwa hakuna haja ya kuanzisha uzi huu
 
Niliuliza swali humu JF kwanini huyu msanii wetu mkubwa anaimba sana nyimbo za kuhamasisha ngono tena kinyume na maumbile. kwa wakati ule sikupata jibu, sasa jibu limepatikana, ila ninacho msii kwa sasa abadilike aache huo ushetani....asitumie usanii na umaarufu wake kuipotosha na kukiangamiza kizazi.
Msanii ni kioo cha jamii.
Hatahivyo bora nife masikini kuliko kutafuta utajiri au vyeo kwa njia za kishetani.
Hicho ndio watu wanapenda kusikia. Huyo ni mfanyabiashara sio akina late Mbaraka Mwinshehe. Yeye kaona wateja wake wanapenda nyimbo za aina hio ndio anawaletea wateja kitu wanachopenda.
 
Niliuliza swali humu JF kwanini huyu msanii wetu mkubwa anaimba sana nyimbo za kuhamasisha ngono tena kinyume na maumbile. kwa wakati ule sikupata jibu, sasa jibu limepatikana, ila ninacho msii kwa sasa abadilike aache huo ushetani....asitumie usanii na umaarufu wake kuipotosha na kukiangamiza kizazi.
Msanii ni kioo cha jamii.
Hatahivyo bora nife masikini kuliko kutafuta utajiri au vyeo kwa njia za kishetani.
Msanii yupi huyo?
 
Acheni watu wawe huru kufanya mambo wanayo yataka kwenye maisha yao na wewe fanya mazuri/mabaya unayo yataka, ukitaka kua mwema kama mother Theresa inawezekana na pia ukitaka kua kama Sean "Diddy" Combs pia inawezekana,mimi kwa mtizamo wangu naheshimu sana uhuru wa mtu
 
nadhani anamaanisha domo. mimi nilishawahijiuliza kwa nini amemwajiri lokole kama na yeye sio mchele mwiba.
 
Tema mate niteleze kama nyoka pangoni.

Kwangaru ibane kwangaru babu juma mpige kwakwarukwaaa.

Niteme mate kama koboko.

Don Masha kwenye Bunyero ,msamwanda wa Buku Jero.
 
Tema mate niteleze kama nyoka pangoni.

Kwangaru ibane kwangaru babu juma mpige kwakwarukwaaa.

Niteme mate kama koboko.

Don Masha kwenye Bunyero ,msamwanda wa Buku Jero.
hizo ndio nyimbo zake, anahamasisha ngono kinyume na maumbile, lengo lake ni kukipoteza kizazi kama yeye alivyo naswa kwenye mtego wa Pddy.
 
nadhani anamaanisha domo. mimi nilishawahijiuliza kwa nini amemwajiri lokole kama na yeye sio mchele mwiba.
Nilishangaa kuna Wimbo Lava Lava alikuwa anawataja mademu na pia akam-mention Lokole means Dabliyusibii wanajua kama jamaa ni mchele mchele wali nazi mchicha mwiba mkasi ngapulila.
 
Social engineering. Kuna mambo ni magumu kuyaelewa.
 
Kama ni mkristo sikiliza kwaya, kama ni muislamu sikiliza Quran, achana na miziki sio kila kitu ni kwa ajili yako wewe, na sio kila kibaya kwako kwa mwengine pia ni kibaya, muhimu asivunje katiba ya nchi
 
Back
Top Bottom