kimarabucha
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 791
- 621
Wadau nimekuwa nafuatilia historia za maisha ya WASANII wetu Wa Bongo.Idadi kubwa ya hao WASANII ukisikia historia za maisha yao utaisikia Baba alinitelekeza nikalelewa na mama Kwa shida sana.Sijawahi kusikia msanii anasema Mama alinitelekeza nikalelewa na Baba au Mjomba.Mfano ni msanii Diamond , Qchief,n.k.Je hii imekaaje wadau?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app