Kwanini Ikulu hazikumbwi na majanga ya asili?

Kwanini Ikulu hazikumbwi na majanga ya asili?

KyemanaMugaza

Member
Joined
Jan 7, 2025
Posts
89
Reaction score
138
Hodi humu jamvini, Heri ya mwaka mpya wakuu, Mi ni mgeni kwa hii Id na ndo mara yangu ya kwanza kupost uzi.

Kama kichwa cha uzi kisemavyo , Kwa zaidi ya miaka 30 nimekuwa mfatiliaji wa habari za ndani na kimataifa.

Sijawahi kuona au kusikia ikulu yoyote hapa duniani ikikumbwa na majanga ya asili mfano mafuriko, sunami au tetemeko la ardhi au volcano, je.

1. Huwa zinajengwa mahali salama sana kuliko makazi yoyote ya binadamu wa kawaida?

2. Au huwa na zenyewe zinapata hayo majanga ila watu wa kawaida hatupewi hizo habari?

3. Kuna yeyote ambaye ashawahi kushuhudia au kusikia popote juu ya uwepo wa matukio hayo?

4. Kama ishawahi kutokea na hizo habari zikafichwa kwa nini iwe hivo?

Naomba kuwasilisha
 
Hodi humu jamvini, Heri ya mwaka mpya wakuu, Mi ni mgeni kwa hii Id na ndo mara yangu ya kwanza kupost uzi.

Kama kichwa cha uzi kisemavyo , Kwa zaidi ya miaka 30 nimekuwa mfatiliaji wa habari za ndani na kimataifa.

Sijawahi kuona au kusikia ikulu yoyote hapa duniani ikikumbwa na majanga ya asili mfano mafuriko, sunami au tetemeko la ardhi au volcano, je.

1. Huwa zinajengwa mahali salama sana kuliko makazi yoyote ya binadamu wa kawaida?

2. Au huwa na zenyewe zinapata hayo majanga ila watu wa kawaida hatupewi hizo habari?

3. Kuna yeyote ambaye ashawahi kushuhudia au kusikia popote juu ya uwepo wa matukio hayo?

4. Kama ishawahi kutokea na hizo habari zikafichwa kwa nini iwe hivo?

Naomba kuwasilisha
Ikulu ya Haiti mwaka 2011 kwenye tetemeko la ardhi na yenyewe ilipigwa.
 
majanga huwa yanaamua kuwapiga wananchi wakawaida ili baada ya janga msikose mtu wakuwapa rambirambi!..😅
 
Kukumbwa yanakumbwa ila taarfa za matatizo ya ikulu ni siri.
 
Back
Top Bottom