Kwanini Ilala haina pub ambazo zinafanya vizuri kama Tabata, Sinza, Kinondoni na Temeke kidogo?

Matendo Andrew

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
748
Reaction score
367
Wakubwa wenzangu poleni kwa kazi.

Nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda Sasa.

Kwanini Ilala haina pub ambazo zinafanya vizuri kama Tabata, Sinza, Kinondoni na Temeke kidogo?

Naliamini sana jukwaa hili kuna watu wajuzi wa Mambo mengi na washauri wazuri.. nikihitaji kuweka nizingatie nini na nini?
 
Kama unaongelea Ilala kama Ilala nadhani unataka kujipoteza kwa kufungua bar. Pale imejaa ile race inayojifanya imeshika sana dini. Kwa mbele kidogo umeinusa Buguruni kwa wana kimboka. Ukiingilia kwa mnyamani ukakunja kidogo barakuda hii hapa. Bar nyingi kuliko nyumba za makazi. Unataka baa gani tena.
 
Tabata ni Ilala, Sinza ni Kinondoni, Kibamba ni Ubungo, lazima wewe sio mwenyeji wa jiji na hua iko hizi sinza na tabata kitambo ndio zinakimbiza kwa viwanja japo hadi kitunda au kinyantila utakuta viwanja ambavyo mikoani havipo vinawaka tu kama kawaida, itoshe kusema hadhi tofauti za maeneo ndio sababu lakini hadi mbande viwanja vipo
 
Umechanganya vitongoji na wilaya, sijui hata tukusaidiaje. Itoshe tu kusema Wilaya ya Ilala na Kinondoni, ziko juu kwa burudani, zikifatia Temeke na Kigamboni.
Lady, nadhani anaisema Ilala (sehemu) na siyo Ilala (wilaya). Kuna hiki kipande cha kuanzia hapo Karume mpaka Buguruni. Hako kakisehemu kenye watu marangi-rangi kwa wingi.
 
Lady, nadhani anaisema Ilala (sehemu) na siyo Ilala (wilaya). Kuna hiki kipande cha kuanzia hapo Karume mpaka Buguruni. Hako kakisehemu kenye watu marangi-rangi kwa wingi.

Mbona hata kuanzia sheli, mwananchi, garage, external, hostel , river viwanja vipo vingi hadi uje depot ya tbl kama unaenda maziwa ushuke hadi ilipo ibungu labda mabibo na uelekee loyola lakini kote huko viwanja vimejaa
 
Hamna miujiza Ilala majority ni waislamu wa itikadi kali za kidini. Hamna atakaeukupa space ufanye mambo ya kikafiri kama kufungua bar ama danguro la malaya.

Kama hio haitoshi hao wenyeji ndio primary customers sasa kama hawaji kutumia huduma hio unafikiri utajiendeshaje?
 
Fantastic bar ipo Bungoni Tena Kuna mchemsho Bab kubwa.Halafu Club ya wazee pale maskani ya madalali wa magari Kuna baa na msosi mtamu sana.Hiyo ujuwe naongelea ilala kama ilala ukitaka nyingine ntakutajia.
 
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…