Kwanini inakuwa hivi...?

Kwanini inakuwa hivi...?

RRONDO

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
55,727
Reaction score
123,094
Kuna matangazo fulani ya magumashi (fraud) huwa nayasikia kwenye redio. Kinachonisgangaza matangazo haya yote wanatumia lafudhi ya kabila fulani. Ina maana kabila hili ndio kinara wa magumashi?
Ukitaka kunielewa sikiliza tangazo fulani la bima ya afya kuna mzee anatumia kadi sio yake,lingine ni la tume fulsni ya haki za walaji muuza duka kauza bidhaa feki bila risiti na anagoma kurudisha.
 
Kuna matangazo fulani ya magumashi (fraud) huwa nayasikia kwenye redio. Kinachonisgangaza matangazo haya yote wanatumia lafudhi ya kabila fulani. Ina maana kabila hili ndio kinara wa magumashi?
Ukitaka kunielewa sikiliza tangazo fulani la bima ya afya kuna mzee anatumia kadi sio yake,lingine ni la tume fulsni ya haki za walaji muuza duka kauza bidhaa feki bila risiti na anagoma kurudisha.

Wewe ni kinara wa kaskazini? Aka mchaga?
 
Back
Top Bottom