Wakuu,
Hivi nimejaribu kuchunguza miaka imepita nasijapata jibu naleta kwenu mnijuze kwa nini,
Kwanini unapokaribia mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan vitu upanda bei??
(a)Mnyama mauzo yake upungua sana(ChairFire)
(b)Nyumba zakulala wageni hukuta vibao vimeandikwa vyumba vipo
(c)Baa mauzo upungua sana
Na wanapofungua Hukuta mauzo yanakuwa juu kwakila sekita niliyoitaja, a,b,c,??
Nni hasa siri ya urembo??
Nimatumaini yangu nanyi nimashahidi kwahilo.
Ni kweli huwa hufungi???????????????(d)Na selo za Polisi zinakuwa tupu.....
(e)hatufungi magrili yetu majumbani
Wakuu,
Hivi nimejaribu kuchunguza miaka imepita nasijapata jibu naleta kwenu mnijuze kwa nini,
Kwanini unapokaribia mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan vitu upanda bei??
(a)Mnyama mauzo yake upungua sana(ChairFire)
(b)Nyumba zakulala wageni hukuta vibao vimeandikwa vyumba vipo
(c)Baa mauzo upungua sana
Na wanapofungua Hukuta mauzo yanakuwa juu kwakila sekita niliyoitaja, a,b,c,??
Nni hasa siri ya urembo??
Nimatumaini yangu nanyi nimashahidi kwahilo.
Wakuu,
Hivi nimejaribu kuchunguza miaka imepita nasijapata jibu naleta kwenu mnijuze kwa nini,
Kwanini unapokaribia mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan vitu upanda bei??
(a)Mnyama mauzo yake upungua sana(ChairFire)
(b)Nyumba zakulala wageni hukuta vibao vimeandikwa vyumba vipo
(c)Baa mauzo upungua sana
Na wanapofungua Hukuta mauzo yanakuwa juu kwakila sekita niliyoitaja, a,b,c,??
Nni hasa siri ya urembo??
Nimatumaini yangu nanyi nimashahidi kwahilo.
Mwenzenu nimeamua kuokoka na kuishi maisha matakatifu siku zote kwa msaada wa Yesu (jina lipitalo majina yote). Kwangu hakuna cha mwezi mtukufu (ambapo natakiwa kuacha maovu) na mwezi mchafu (ambapo naruhusiwa kufanya madhambi). Kwangu siku zote ni tukufu.
Kali ni kuwa hata mauzo ya kitimoto nayo hushuka, huwa napata hasara sana mwezi huo!!