#COVID19 Kwanini inatumika nguvu nyingi kuwahamasisha watu kuchoma chanjo ya Corona?

JUDIKAY

Senior Member
Joined
Jul 20, 2021
Posts
104
Reaction score
157
Kwanini mnatumia nguvu kubwa namna hii kulazimisha chanjo? Kama ni kwa faida yetu kwanini mtumie nguvu namna hii?

Sasa hivi mmeamua kuedit cheti fake cha Gwajima kuonyesha amechanjwa, ila mmechemka tarehe maana tarehe hizo chanjo ilikuwa haijaingia Kenya wala Tanzania


Mmefeli tena.
 
Issue ni kua,
Virus wakikaa sehemu bila kudhibitiwa hufanya mutation na kua wakali zaidi "New variant" na wanaweza kuleta madhara kwenye umri wowote ule,

Issue ni kumtokomeza huyu mdudu na sio kufugwa somewhere ambapo ataendelea kufanya mutation na kua variant mkali zaidi,


Kwa wale walio kariri maisha,

"Comment yangu haimlazimishi mtu kuchanjwa wala sipigi kampeni ya chanjo"
 
Hoja za kisayansi hazijibiwi KISIASA.....

Unadhani kirusi kikiachwa kiishi utaweza KUKISHAMBULIA kirahisi ?!!!!

Mfano ni kirusi cha UKIMWI....unapotumia dawa unakipunguza nguvu huku mgonjwa akitakiwa kupunguza "kurukaruka" ili asije akapata "maambukizi mapya"......

#TujitokezeniKuchanjwa
#KaziInaendelea
 

Hiyo nguvu inatumika wapi? Wengine tumekwenda kuchanjwa chanjo haipo:



 

Umeenda Kituo gani ukakosa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…