Kwanini India katika kila vita hushindwa vibaya sana

Vita Kama mechi za Yanga na simba ni kuoteana tu
Yanga hawa hawa utopolo ambao wanasheherekea juzi wamepostiwa na ile timu kutoka la liga, yanga hii mganga anaheshimika kuliko mchezaji au unazungumzia yanga ipi🚶‍♂️
 
Ww umeweka ushabiki ,tafsiri yangu siyo hiyo.
Yanga hawa hawa utopolo ambao wanasheherekea juzi wamepostiwa na ile timu kutoka la liga, yanga hii mganga anaheshimika kuliko mchezaji au unazungumzia yanga ipi🚶‍♂️
 
Baba wachina si unajua wazee wa huu haa, inaonekana wahindi walikula fimbo zile za maghati rudisha nyuma.
 


Stori za kahawa ndo unaleta humu?? Fatilia vita za pakistan na india uone nani anayepigwa mara nyng acha ushabiki .. tafiti kwanza
 
India hawezi kusimama na mchina. Ndio maana ameomba suluhi yaishe.
 
Yaani hao wadosi 20 waliokufa ni mkono tu hamna hata risasi moja imepigwa
halafu wadosi kwenye TV chaneli zao wanasema wachina 45 wemekufa, duhh
hamna hata habari moja kwenye mitandao ya kimataifa kuthibitisha huu uporo
BJP ni Trump in India, kila kitu cha ukweli ni FAKE NEWS.
 
😂😂😂😂😂😂😃😃😃😃😃😃😄😄😄😄😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😀😀😀😀😀😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😃😃😃😃😃😃😃😃😄😄😄😄😄😄😄😄😄😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😇😇😇😇😇😇😇😇😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 oo oo oo oo ops my mbavu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 duh Alhamdulillah nimeianza siku vizuri
 
Sio kweli kwamba India imeshindwa kila Vita, Kama ingekuwa kweli basi eneo lote la Kashmir lingekuwa ardhi ya Pakistan.

Isitoshe India iliisaidia Sana Bangladesh kwenye Vita vyake vya kujitenga na Pakistan na iliteka wanajeshi wengi wa Pakistan katika historia ya Vita.

Isitoshe jeshi la India linashiriki sana kwenye operesheni za kulinda amani za kimataifa mfano huko DRC kwenye kikosi cha walinda amani (MONUC) India imechangia askari wengi sana hata vifaa kama helikopta, magari.
 
Wale wanajua kucheza Nachi tu,,,vita siyo hobby yao,,mchina aliwatembezea kipondo hatari,,na wahindi ndo walimfata mchina kambini
 
Kachori azijawahi kuwaacha salama kina kanjibai mdebwedo
 
Kina kanjibai mdebwedo wanajua kliketi tu wakazani na kareti wanajua wakamvaa kong fu drunken master shivo. Acha waone maono[emoji23][emoji23]
 
Wale wanajua kucheza Nachi tu,,,vita siyo hobby yao,,mchina aliwatembezea kipondo hatari,,na wahindi ndo walimfata mchina kambini
India ni taifa lenye nguvu kubwa kijeshi hapo Asia Kusini angalia historia yake ya kijeshi na hasimu wake Pakistan.

Hata hapo DRC angalia India ilivyojitolea kwenye kikosi cha MONUC.
 
katika vita ya juzi China pia walikufa askari zaidi ya kumi.
 
Wale wanajua kucheza Nachi tu,,,vita siyo hobby yao,,mchina aliwatembezea kipondo hatari,,na wahindi ndo walimfata mchina kambini
Si unaona hata matapeli wakitaka kuchukua kutoka kwa wahindi huwaendea kama askari.Mambo ya vita na ugomvi hawapendi.Wakitaka kujionesha kidogo basi huenda kule Kashmir wakakamata mpaka akinamama .
 
India ni taifa lenye nguvu kubwa kijeshi hapo Asia Kusini angalia historia yake ya kijeshi na hasimu wake Pakistan.

Hata hapo DRC angalia India ilivyojitolea kwenye kikosi cha MONUC.
India,Nepal ,Bangladesh wanajeshi wako wengi wako Congo, tena maeneo yao yako strong sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…