Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wewe ni Mpuuzi, siwezi kukujibuUnataka kusema anaonewa kwa kwa ujuha alioufanya Jana kanisani.
Asante Mimi mpuuzi ila mchungaji Jana kafanya ujuha.Wewe ni Mpuuzi, siwezi kukujibu
SawaAsante Mimi mpuuzi ila mchungaji Jana kafanya ujuha.
Kadri serikali inavyopambana nao ndivyo sumu inaenea kuelekea kutimia kwa mipango.Unataka kusema anaonewa kwa kwa ujuha alioufanya Jana kanisani.
Suala mf la Lissu wamefika wapi? Ukiripoti utasaidiwa vipi?Shutuma au sijui maelezo aliyoyatoa Mwingira Jana jumapili hayana tofauti na aliyoyasema Zitto.
Zitto ameenda mbali na kusema anawafahamu kwa majina waliotumwa na Utawala wa Magufuli kumchomea nyumba.
Swali, mbona sijasikia mahali popote Zitto akiitwa kuhojiwa? Why Mwingira??
Zitto ni kibaraka waoShutuma au sijui maelezo aliyoyatoa Mwingira Jana jumapili hayana tofauti na aliyoyasema Zitto.
Zitto ameenda mbali na kusema anawafahamu kwa majina waliotumwa na Utawala wa Magufuli kumchomea nyumba.
Swali, mbona sijasikia mahali popote Zitto akiitwa kuhojiwa? Why Mwingira??
Mipangi ipi sasa? we all know that religious are there for the code of civilization,nje na hapo ni myth. Alikuwa wapi kutoa shutuma wakati wa magufuri.Kadri serikali inavyopambana nao ndivyo sumu inaenea kuelekea kutimia kwa mipango.
Zitto ni pandikiziShutuma au sijui maelezo aliyoyatoa Mwingira Jana jumapili hayana tofauti na aliyoyasema Zitto.
Zitto ameenda mbali na kusema anawafahamu kwa majina waliotumwa na Utawala wa Magufuli kumchomea nyumba.
Swali, mbona sijasikia mahali popote Zitto akiitwa kuhojiwa? Why Mwingira??
Shutuma za mchungaji Jana ni nzito sana,ndio maana anapaswa awasaidie polisi maelezo ili walifanyie kazi.Zitto ni kibaraka wao
Za Zitto unazifahamu??Shutuma za mchungaji Jana ni nzito sana,ndio maana anapaswa awasaidie polisi maelezo ili walifanyie kazi.
Hao wote mapandikizi, kinachofanywa kwa Mwingira ni kuwapoteza maboya wasiojua kufikiri sawa sawa.
Swala la TUNDU LISU limefikia wapi mzee wa kufanyia kazi maelezo.Shutuma za mchungaji Jana ni nzito sana,ndio maana anapaswa awasaidie polisi maelezo ili walifanyie kazi.
Mbona risasi za Lisu uchunguzi umejaa kigugumizi? Miaka mingapi mpaka leo. Au mhalifu anajichunguza!!!Mipangi ipi sasa? we all know that religious are there for the code of civilization,nje na hapo ni myth. Alikuwa wapi kutoa shutuma wakati wa magufuri.
Hamna kituNgoja kingai amhoji mwingira vzr