Kwanini jeneza lazima litengenezwe kwa material ya mbao?

Kwanini jeneza lazima litengenezwe kwa material ya mbao?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Nini kipo behind mbao maana hata Yesu stori yake ya kufa ilibidi msalaba uwe ni wa mbao hata baba yake wa kufikia alikuwa seremala fani ya kuchonga miti. Hata Yuda na ye alijinyonga mtini. Hata Abeli alibarikiwa alikuwa mkulima ana deal na miti mazao ama vegetables.

Jeneza lazima tu liwe material ya mbao hata Ulaya kote huko lazima mbao ihusike kwenye jeneza ndo maana wakasema mpaka sasa hivi hapo ulipo kuna mshenzi anamwagilia mti ambao utatengenezewa jeneza lako.

Siku hizi furniture nyingi tunatoka kwenye mbao mbao ila jeneza tu milele yote lazima mti uhusike na sio metals au fiber.
 
Yapo ya materials tofauti ni pesa yako tu Mkuu. Lakini mbao inatumika kwa wingi sababu ya upatikanaji wake na urahisi kuoza

Yesu ilitumika mbao/miti sababu jesus was simply a man of his era, ilibidi iwe hivo hawakuwa na means nyingine, hili swali lako ni sawa na mtu aulize ni kwanini leo tunavaa boxer
 
Tengeneza jeneza lako la tofali.
Maana watu wa ulimwengu huu mnapenda sana kwenye against nature ndio maana siku hizi mnapakuana kisamvu mnaacha njia ya asili yenye utelezi murua.
 
Huu ni utamaduni wa wazungu.
Wengie wengi mtu anaweka tu ardhini akiwa na Sanda kisha kazi. Lengo aoze mapema ili andiko litimie... Mavumbini utarudi
 
Angalua video ya wimbo wa thriler ya Michael Jackson kuna jeneza la chuma,ila ujipange kwa bei
 
Back
Top Bottom