Judah Tribe
Senior Member
- Sep 1, 2024
- 159
- 594
Kama swali linavyo uliza kwanini mji wa Jerusalema kila mtu anaulilia kuna siri ipi iliyopo jerusalema wakati ukiangalia duniani Kuna miji iliyo jengwa kuzidi jerusalema.
Naandika haya nikijionea kwa macho yangu palestina wanaulilia jerusalema kwa kusema ni mji wao mkuu hata ukija katika suala la wakristo na Waislam kila mtu anaulilia jerusalema mji huo.
Je, Doha au Dubai ni miji mizuri kuizidi yerusalem kwanini watu hawaililii miji hii au new York city au Paris why jerusalema
Hata BABA YETU YESU KRISTO KWANINI ALIPO UONA MJI WA YERUSALEM ALIULILIA na "kusema eh Jerusalem laiti ungelijua yakupasayo Amani yamejificha kwa sababu hukuutambua wakati". Kwanini Kila mtu anaulilia Jerusalema.
Hata ule wimbo WA south afrika wanaimba "ilondoloze jerusalema ikhaya lam" kwanini muimbaji anaulilia jerusalema wakati cape town Ni mji mzuri kuliko jerusalema?
Nawasilisha wajuzi mnijulishe kwa faida ya wengi.
Naandika haya nikijionea kwa macho yangu palestina wanaulilia jerusalema kwa kusema ni mji wao mkuu hata ukija katika suala la wakristo na Waislam kila mtu anaulilia jerusalema mji huo.
Je, Doha au Dubai ni miji mizuri kuizidi yerusalem kwanini watu hawaililii miji hii au new York city au Paris why jerusalema
Hata BABA YETU YESU KRISTO KWANINI ALIPO UONA MJI WA YERUSALEM ALIULILIA na "kusema eh Jerusalem laiti ungelijua yakupasayo Amani yamejificha kwa sababu hukuutambua wakati". Kwanini Kila mtu anaulilia Jerusalema.
Hata ule wimbo WA south afrika wanaimba "ilondoloze jerusalema ikhaya lam" kwanini muimbaji anaulilia jerusalema wakati cape town Ni mji mzuri kuliko jerusalema?
Nawasilisha wajuzi mnijulishe kwa faida ya wengi.