Kimbojo
JF-Expert Member
- Apr 12, 2009
- 387
- 54
Mashindano yanayoendelea ya cecafa timu zote kwenye jezi zao zimeandikwa majina ya nchi. Amavumbi (Rwanda), Harambe stars (Kenya), The Flames (Malawi), Intamba mrugamba (Burundi), Zanzibar heros (Zanzibar), zimbabwe woriors (Zimbabwe), The Cranes (Uganda), Ocean Boys (somalia), Djibout(Djibout) haya majina ya kwenye mabano yaliandikwa kwenye jezi za nchi husika, Je The Kilimanjaro kwanini jezi hazikuandikwa jina la nchi? au hizo ndizo kero za muungano? mbona Zanzibar waliandika Zanzibar? sisi tulipaswa tuandike Tanzainai bara? lakini TZ bara haiwekani mbona Zanzibar hawakuandika TZ visiwani? tulipaswa tuandike Tanganyika ambayo ni jina la nchi yetu tunajivunia nchi gani kwanye mashindano haya? TFF waliwaza haya mambo? au waligonga na kero za muungano?