Kwanini jina la waziri wa mazingira halipo katika tovuti ya IKULU,KATIBU MKUU KIONGOZI

Adharusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2012
Posts
14,422
Reaction score
7,350
Nimekua najiulia kwanini jina la waziri wa mazigira halipo katika majina ya baraza la mawaziri katika tovuti ya ikulu wala katibu mkuu kiongozi, je amesahulika, sababu si maaruu,maana huku wanachi hawamjui,

je na walimteua hawamjui, kwanini jina lake halipo au na wao hamfahamu, maana kiukweli hafahamiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…