Kwanini jino, funza na sikio vinauma usiku?

Kwanini jino, funza na sikio vinauma usiku?

mtungu

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2021
Posts
270
Reaction score
435
Kwa nini hua vinapenda kusumbua usiku ukiwa umelala ni mara chache sana kukuta jino likiuma mchana au sikio ata funza akikuingia kwenye mwili hua anawasha usiku wala si mchana kipindi cha utoto walitutesa sana funza kipi chengine kinachosumbua usiku kuliko mchana
 
Back
Top Bottom