Hivi unajua Kiba kaamrishwa atoe matangazo ya kuifagilia ccm kwa amri ya timu wema na ni bure wakati joti unayemuongelea kalamba mamilioni ya pesa???????????Wakuu nina hoja fupi sana hapa!
Why Joti anapatia sana kwenye matangazo ya Tigo? Alikimbiza na mzee Mwalubadu na sasa anavuruga na hili tangazo la Tigopesa. Joti amewafunika wasanii wote ila ukimtoa Kiba tu upande wa matangazo..
Joti ni muumini wa chama gani?
Hivi unajua Kiba kaamrishwa atoe matangazo ya kuifagilia ccm kwa amri ya timu wema na ni bure wakati joti unayemuongelea kalamba mamilioni ya pesa???????????
Joti ni muumini wa chama gani?
​Kwani nimekulazimisha uamini ??????????weka ushahidi tukuamini
Kwani nimekulazimisha uamini ??????????weka ushahidi tukuamini
Joti ni muumini wa chama gani?
​Kwani nimekulazimisha uamini ??????????
Teh Teh yeye ni fundi kama Diamond!