lovebitelol
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 964
- 972
- Thread starter
-
- #41
Ulikubali kwanini kuvalishwa siku ya ndoa? Si ungetoa tamko kuwa pete sio ndoa?Pete sio ndoa. Wapo wanaojivalia mipete ya ndoa n hata boyfriends hawana. Mimi binafsi hua navaa nkikumbuka.
Pete sio ndoa especially kny dunia ya sasa ndo maana nkasema wengi wanajivalia n hawana ata boyfriend. Mfano Ukipoteza pete kwan inamaansha ndoa yako imepotea?Ulikubali kwanini kuvalishwa siku ya ndoa? Si ungetoa tamko kuwa pete sio ndoa?
Kuna sababu gani ya kutovaa wakati unayo? Kwani walioanzisha kuvaa pete walikua wajinga?Pete sio ndoa especially kny dunia ya sasa ndo maana nkasema wengi wanajivalia n hawana ata boyfriend. Mfano Ukipoteza pete kwan inamaansha ndoa yako imepotea?
Izo pete ingekua unapewa unapofungia ndoa sawa lkn unanunua mwenyewe how special it is?? Ndoa ni ww n nafsi yako so ucjidanganye ukikuta m2 kavaa pete ukawa n uhakika 100% kua ni mke/mme wa m2 n viceversa.Kuna sababu gani ya kutovaa wakati unayo? Kwani walioanzisha kuvaa pete walikua wajinga?
Hoja yangu iko kwa wasiovaa wewe mtu, sijasema mtu anayevaa anamaanisha nini ila nauliza kwanini uwe nayo usivae?Izo pete ingekua unapewa unapofungia ndoa sawa lkn unanunua mwenyewe how special it is?? Ndoa ni ww n nafsi yako so ucjidanganye ukikuta m2 kavaa pete ukawa n uhakika 100% kua ni mke/mme wa m2 n viceversa.
Kwani mke mwenza hata wewe ni selebriti?nasubiria name mniweke na mniambie kwanini sivai kiremba hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa