ππππMfano wewe ni mzimu
Je utakubali kula Hilo kundi la pili?
Nimecheka sanaaaMfano wewe ni mzimu
Je utakubali kula Hilo kundi la pili?
Wanyama hao Wote unaodhani hawatumiki wanatumika sana! Inategemea na aina ya kafara , tanbiko au ibadaπ au vinatolewa vile ambavyo mtaalamu anaweza kula tu ??
Anyway like serious π³, katika ulimwengu wa kiroho wanyama hawa wana connection hadi wao kutumika kwa ajili ya kafara na matambiko?
Najisi kwa mujibu wa nani? Au wewe dunia yako inaanzia na kuishia wapi?Mbwa na nguruwe ni najisi tangu zamani.
Shetani kakopi kanuni za Kimungu za enzi na enzi, hana jipya
Sijawahi kusikia wanamtumia kitimotoπ au vinatolewa vile ambavyo mtaalamu anaweza kula tu ??
Anyway like serious π³, katika ulimwengu wa kiroho wanyama hawa wana connection hadi wao kutumika kwa ajili ya kafara na matambiko?
Najisi kwa mujibu wa Biblia.Najisi kwa mujibu wa nani? Au wewe dunia yako inaanzia na kuishia wapi?
Wachina, Wagiriki, Watumi, Samoa na Fiji na Haiti mbona walikuwa wakitoa mbwa na nguruwe katika kafara zao? Na wengine kama Fiji na Haiti na China (Taoism) hadi leo wanaendelea kutumia wanyama hao!
Ivi aliendaga wapiDokita manyau nyau alikua akinywa damu za paka
Bila kusahau nguruweπ au vinatolewa vile ambavyo mtaalamu anaweza kula tu ??
Anyway like serious π³, katika ulimwengu wa kiroho wanyama hawa wana connection hadi wao kutumika kwa ajili ya kafara na matambiko?
Mbona iringa wanakula mbwa kwani huko hakuna waganga wala mbwa?Mfano wewe ni mzimu
Je utakubali kula Hilo kundi la pili?
Ila shetani yuko strict sana na kazi yake, toka aanze kazi hajawahi kubadili msimamo, ila wapendwa wametafuta sababu hadi wakahalalisha kitimoto!!Sijawahi kusikia wanamtumia kitimoto