Kwanini kafara au matambiko wanatumika njiwa, kuku, mbuzi au ng'ombe na sio mbwa, kondoo, kanga au paka?

Mizimu ni watu/nafsi za watu waliokufa zamani kwahiyo kama ni chakula/kafara lazima kiwe anachoweza kushiriki binadamu
 
πŸ˜‚ au vinatolewa vile ambavyo mtaalamu anaweza kula tu?

Anyway like serious 😳, katika ulimwengu wa kiroho wanyama hawa wana connection hadi wao kutumika kwa ajili ya kafara na matambiko?
Wapi huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…