Kagera ni mzigo wa WIZI,wakati wanaigawa German East Africa ,walikwepesha mipaka ya asili wakaiweka Kagera kwenye iliyokuja kuwa Tanganyika kimakosa.Jamhuri ya Kagera? π π π π π π π π ndilo suluhisho
Tambiko la taifa linapita nao.Kagera cjui Kuna nn,hata Idd Amin alianza huko,bila kusahau ukimwi
Hata hao nshomile , wanapenda sana kujinasibu na Uganda , hasa abaganda, wanapenda sana kuongea kiganda...Kagera ni mzigo wa WIZI,wakati wanaigawa German East Africa ,walikwepesha mipaka ya asili wakaiweka Kagera kwenye iliyokuja kuwa Tanganyika kimakosa.
πππ jamhuri ya kagera zaman ilikuwa inaitwa uingereza ya east AfricaJamhuri ya Kagera? π π π π π π π π ndilo suluhisho
ndiyo nasikia hii habariπππ jamhuri ya kagera zaman ilikuwa inaitwa uingereza ya east Africa
Ni zaidi ya dhaifu sijui tuiiteje tu.. Kichekesho au?Hoja dhaifu.
basi hiyo ndo ilivyo zaman zama za ukoloni wazung centre yao ilkuwa pale bukoba. bukoba iliwaunganisha wazung wa rwanda , burundi kenya tz na ugandandiyo nasikia hii habari