Dar Joto Sana
Member
- Feb 28, 2025
- 55
- 59
Mambo vp wadau?
Kwanini "Telecom Companies" hutuma flash SMS badala ya zile za kawaida?
Kwanini ujumbe au tangazo ambalo lingewezekana kutumwa kwa njia ya sms ya kawaida linatumwa kwa njia ya flash SMS??
Hilo ndio swali langu.
Kwanini "Telecom Companies" hutuma flash SMS badala ya zile za kawaida?
Kwanini ujumbe au tangazo ambalo lingewezekana kutumwa kwa njia ya sms ya kawaida linatumwa kwa njia ya flash SMS??
Hilo ndio swali langu.