GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna Mtu alivaa Suti ya Kizee na Kiserikali ila wala Waziri Mkuu alikuwa hampi Yeye Maelekezo ya Kuchukua Pesa za Serikali badala yake Maelekezo yote alikuwa akipewa Mtu Mwerevu Mweledi Ahmed Ally Msemaji wa Simba SC.
Kazi kweli kweli.
Kazi kweli kweli.