Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu Nadhani ni miaka 40Nauliza tu kwanini?
Wakati ni mmoja ya watu waliolitumikia taifa hili kwa kila hali
Nashauri watoto wake na wao waandae kumbukumbu yake itasaidia utawala kumkumbuka
Mfumo Kristo alisikika mzee mmoja akibwabwaja.Nauliza tu kwanini?
Wakati ni mmoja ya watu waliolitumikia taifa hili kwa kila hali
Nashauri watoto wake na wao waandae kumbukumbu yake itasaidia utawala kumkumbuka
Haya yoote yanafanyika kisa kuwafutusha wamasai kwenye ardhi yao huko ngorongoroNauliza tu kwanini?
Wakati ni mmoja ya watu waliolitumikia taifa hili kwa kila hali
Nashauri watoto wake na wao waandae kumbukumbu yake itasaidia utawala kumkumbuka
Hata kamaIshu Nadhani ni miaka 40
rais sasa muoslamMfumo Kristo alisikika mzee mmoja akibwabwaja.
mengine yalifanyika kablaHaya yoote yanafanyika kisa kuwafutusha wamasai kwenye ardhi yao huko ngorongoro
Akitimiza miaka 40 nae ataenziwa!Nauliza tu kwanini?
Wakati ni mmoja ya watu waliolitumikia taifa hili kwa kila hali
Nashauri watoto wake na wao waandae kumbukumbu yake itasaidia utawala kumkumbuka
Kama kumbukumbu yake inaweza kufanikisha uchaguzi 2025 , itakuwa tukio .Nauliza tu kwanini?
Wakati ni mmoja ya watu waliolitumikia taifa hili kwa kila hali
Nashauri watoto wake na wao waandae kumbukumbu yake itasaidia utawala kumkumbuka
CCM INA WATU WENYE ROHO MBAYA SANANauliza tu kwanini?
Wakati ni mmoja ya watu waliolitumikia taifa hili kwa kila hali
Nashauri watoto wake na wao waandae kumbukumbu yake itasaidia utawala kumkumbuka
Suala sio kufia kazini suala ni Cheo alichonacho mbona Nyerere hakuifia kazini lakini anaenziwa?Kumbuka Sokoine alifia kazini akiwa ni waziri mkuu wa nchi na ndio alikuwa akitoka Dodoma kwenye vikao vya Bunge.