Ndiyo Mkuu.Yamekua hayo
Kutoka kwa Kamusoko kuliua kiungo Yanga.Tatzo sio yondan... Tatzo n kiungo mkabaj...team ilikufa sana pale kat...n sawa na simba... First 11 kocha alizingua kabsa lakn aliwah ku react
Kutoka kwa Kamusoko kuliua kiungo Yanga.Tatzo sio yondan... Tatzo n kiungo mkabaj...team ilikufa sana pale kat...n sawa na simba... First 11 kocha alizingua kabsa lakn aliwah ku react
Kwa goli lile,Dida hakuwa na la kufanya kwa kuwa matarajio yake na akili ya mfungaji ilikuwa tofautidante alikuwa tatizo pia poor marking ,hata dida goli la pili ni uzembe wake kipa makini nadra sana kufungwa kwenye angle unayo iamini alafu mpigaji akiwa umbali ule