Kwanini Kenya imeshaanza kampeni za 2022 miezi 6 tu baada ya uchaguzi kuisha?

Kwanini Kenya imeshaanza kampeni za 2022 miezi 6 tu baada ya uchaguzi kuisha?

chinchilla coat

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2016
Posts
5,107
Reaction score
10,969
Nikipita mtandaoni na habari kubwa za siasa za Kenya ni kuhusu kujipanga kwa ajili ya kampeni za 2022kwenye urais, na NASA kusalitiana

William Ruto amabaye ndie imekubaliwa rasmi na chama tawala cha Jubilee kuwa ndie atamrithi Kenyatta katika uchaguzi ujao amekuwa akizungumza watu waache siasa wapige kazi hadi 2022, lakini kuna watu wake (nadhani anawatuma) wamekuwa wakitoka hadharani na kutoa matamko kuwa yeye ndie chaguo sahihi kufikia mwaka 2022 na anastahili

Japo Ruto yeye haongei chcochote kuhusu uchaguzi huo inaonekana amekuwa akipanga kambi chini kwa chini na anahofia kuwa kuna mtu anyetishia nafasi yake hiyo

Mtu huyo ni nani? Kuna mtoto wa Moi nilimsikia akitajwa kuwa ndie tishio kumrithi Uhuru 2022, lakini yeye ana lay low kama hana mpango na nafasi hiyo.

Huku NASA imevurugika na akina Musalia Mudavadi na Moses Wetangula wameikacha na upinzani hauna umoja wa kupambana na Jubilee

Odinga anaonekana kushuka sana kiushawishi baada ya kulainika ghafla na kushikana mkono na Uhuru huku hakuna lolote la maana alilopata ikilinganishwa na cost kubwa waliyoingia wafuasi wake.

mwanasheria aliyeshiriki kumuapisha Miguna Miguna alifukuzwa tena mbele yake alipoenda kumpokea uwanja wa ndege na hakuna lolote aliloweza kufanya

So, huku upinzani ukiwa umevurugika na hakuna mtu tishio sana Jubilee inaonekana urais ni wa Ruto kwa asilimia kubwa

Swali ni kwa nini jamaa ameanza kampeni mapema hivi wakati hana hata mshindani mkubwa?

Anaonekana kuchukua tahadhari na kupanga majeshi mapema kama kuna mtu ataibuka na kumnyang'anya nafasi hiyo

Au labda sifahamu vizuri, wadau waKenya mngenieleza jamaa anahofia nini hadi kuanza kampeni mapema hivi kiasi cha kuwachosha raia na kuathiri hata mipango mingine ya maendeleo

pingli-nywee COLLOH-MZII RELOADED Mkikuyu- Akili timamu Tony254 nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Siasa za Kenya ziko tofauti sana, toka nianze kupata ufahamu hii ndiyo mbinu yao. Yani uchaguzi uki isha tu, uta anza kusikia mipango ya uchaguzi hujao. Sasa ikibaki kama miaka miwili hivi hapo ni full campaign...
 
Siasa za Kenya ziko tofauti sana, toka nianze kupata ufahamu hii ndiyo mbinu yao. Yani uchaguzi uki isha tu, uta anza kusikia mipango ya uchaguzi hujao. Sasa ikibaki kama miaka miwili hivi hapo ni full campaign...
Nah, ila ni kawaida kwa nchi zote za kidemokrasia kama yule rais aliyepo anamaliza mhula wake wa Mwisho, nakumbuka hata Tz Kikwete alipokuwa anaondoka kampeni za kumrithi zilianza kitambo hadi akina Lowassa wakaitwa kwenye kamati ya maadili na kupigwa ban
 
ndio mambo yalivyo huku mkuu...wamefanya utawala ukawa ni kama jambo la kufa kupona ndio maana unawaona wanazungumzia siasa za miaka mitano zijazo wakati mtu hata hajui kama atakuwa hai kesho au atakuwa kaburini...mwanasiasa ni mtu wa ajabu sana huku Kenya...
 
Nikipita mtandaoni na habari kubwa za siasa za Kenya ni kuhusu kujipanga kwa ajili ya kampeni za 2022kwenye urais, na NASA kusalitiana

William Ruto amabaye ndie imekubaliwa rasmi na chama tawala cha Jubilee kuwa ndie atamrithi Kenyatta katika uchaguzi ujao amekuwa akizungumza watu waache siasa wapige kazi hadi 2022, lakini kuna watu wake (nadhani anawatuma) wamekuwa wakitoka hadharani na kutoa matamko kuwa yeye ndie chaguo sahihi kufikia mwaka 2022 na anastahili

Japo Ruto yeye haongei chcochote kuhusu uchaguzi huo inaonekana amekuwa akipanga kambi chini kwa chini na anahofia kuwa kuna mtu anyetishia nafasi yake hiyo

Mtu huyo ni nani? Kuna mtoto wa Moi nilimsikia akitajwa kuwa ndie tishio kumrithi Uhuru 2022, lakini yeye ana lay low kama hana mpango na nafasi hiyo.

Huku NASA imevurugika na akina Musalia Mudavadi na Moses Wetangula wameikacha na upinzani hauna umoja wa kupambana na Jubilee

Odinga anaonekana kushuka sana kiushawishi baada ya kulainika ghafla na kushikana mkono na Uhuru huku hakuna lolote la maana alilopata ikilinganishwa na cost kubwa waliyoingia wafuasi wake.

mwanasheria aliyeshiriki kumuapisha Miguna Miguna alifukuzwa tena mbele yake alipoenda kumpokea uwanja wa ndege na hakuna lolote aliloweza kufanya

So, huku upinzani ukiwa umevurugika na hakuna mtu tishio sana Jubilee inaonekana urais ni wa Ruto kwa asilimia kubwa

Swali ni kwa nini jamaa ameanza kampeni mapema hivi wakati hana hata mshindani mkubwa?

Anaonekana kuchukua tahadhari na kupanga majeshi mapema kama kuna mtu ataibuka na kumnyang'anya nafasi hiyo

Au labda sifahamu vizuri, wadau waKenya mngenieleza jamaa anahofia nini hadi kuanza kampeni mapema hivi kiasi cha kuwachosha raia na kuathiri hata mipango mingine ya maendeleo

pingli-nywee COLLOH-MZII RELOADED Mkikuyu- Akili timamu Tony254 nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11


Hao jamaa mimi huwa wananishangaza sana, hivi Fedha huwa wanapata wapi za kufanyia Kampeni 365/24/7?
 
Hii demokraia Africa ni namna nyingine ya kurudisha nyuma maendeleo,
Ni bora hata uchaguzi mkuu uwe miaka 10, pengine watu watasahau siasa for a while.
 
ndio mambo yalivyo huku mkuu...wamefanya utawala ukawa ni kama jambo la kufa kupona ndio maana unawaona wanazungumzia siasa za miaka mitano zijazo wakati mtu hata hajui kama atakuwa hai kesho au atakuwa kaburini...mwanasiasa ni mtu wa ajabu sana huku Kenya...
Bongo pia ipo hivyo, inatokea kwenye kipindi Rais aliyepo madarakani anamaliza mhula wake wa mwisho, race za kumriithi huanza mapema kweli

Nakumbuka Tanzania Kikwete alipokuwa anaondoka akina Lowassa walikuwa wameeshaanza kampeni mapema sana hadi wakaitwa na chama na kuonywa...

Japo siasa za Kenya zinaonekana zipo huria sana, chama tawala hakiwezi kukemea magenge

Enzi zile za Kanu na Moi kulikua hamna uhuru wa siasa sana na kulikuwa na stability pia, je unadhani pengine zama zie ni bora zaidi ya sasa?
 
Hii demokraia Africa ni namna nyingine ya kurudisha nyuma maendeleo,
Ni bora hata uchaguzi mkuu uwe miaka 10, pengine watu watasahau siasa for a while.
Demokrasia pamoja na mapungufu yake ni bora kuliko utawala wa kiimla au wa kifalme, tawala za kifalme mbaya mno na zingeleta machafuko zaidi
 
Demokrasia pamoja na mapungufu yake ni bora kuliko utawala wa kiimla au wa kifalme, tawala za kifalme mbaya mno na zingeleta machafuko zaidi
Mliofuata democrasia ya Magharibi karibu wote ni maskini Mafukara wa kutupwa, hao wanaotumia Mifumo ya Kifalme wamepiga hatua sana, wako mbali sana, nyie mnaendelea kupigizana makelele tu, kila mtu ni mwanasiasa na productivity ni zero,
Mfumo kama wa uchina is the best for Africans.
 
Mliofuata democrasia ya Magharibi karibu wote ni maskini Mafukara wa kutupwa, hao wanaotumia Mifumo ya Kifalme wamepiga hatua sana, wako mbali sana, nyie mnaendelea kupigizana makelele tu, kila mtu ni mwanasiasa na productivity ni zero,
Mfumo kama wa uchina is the best for Africans.
Waafrika gani waliofuata ufalme wakafanikiwa? Kwa mswati? Kongo? Uganda? hizi zinamafanikio gani kuliko Kenya yenye demokrasia?
 
Nenda kasome tena nilichoandika, and please do not read to reply, read to understand!
Nimesoma umesema wanaofuta demokrasia ni masikini kuliko wanaofuata mifumo mingine, nakuuliza hebu nipe mifano ya nchi za Afrika zilizo na mafanikio kwa sababu hazifuati demokrasia
 
Nimesoma umesema wanaofuta demokrasia ni masikini kuliko wanaofuata mifumo mingine, nakuuliza hebu nipe mifano ya nchi za Afrika zilizo na mafanikio kwa sababu hazifuati demokrasia
Aisee,
Waafrica si ndio hao Maskini ninaowazungumza hapa mkuu? Who else?
 
Aisee,
Waafrica si ndio hao Maskini ninaowazungumza hapa mkuu? Who else?
kuna nchi za kiafrika hazifuati mfumo wa demokrasia ni masikini na ziana ufujaji mkubwa kuliko zinzofuata demokrasia

So demokrasia sio kisingizio cha umaskini wa Waafrika
 
kuna nchi za kiafrika hazifuati mfumo wa demokrasia ni masikini na ziana ufujaji mkubwa kuliko zinzofuata demokrasia

So demokrasia sio kisingizio cha umaskini wa Waafrika
OK.
 
Hao jamaa mimi huwa wananishangaza sana, hivi Fedha huwa wanapata wapi za kufanyia Kampeni 365/24/7?
why they start campaigns so early.. its a massive shame.. u spend billions on campaigns.. u will def steal billions when inside.. they need to put a cap on campaigns funding
 
Back
Top Bottom