abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
Habari wadau,
Jana katika pita pita zangu nikakutana na habari kutoka K24 TV kuwa kuna bwana na bibi wamenasiana walipokuwa wanafanya mapenzi siku shangaa kwa ilo tukio ila nashangaa mbona matukio Mengi ya ivi yapo Kenya?
Alafu walikua hawajavaa hata mask za kujilinda na ukimwi wala corona alafu ni mtu na mke wa mtu.
Au hii ndio Sababu ya wao kuogopa Corona sana mana inaonekana kinga zao zina CD4 chache?
Jana katika pita pita zangu nikakutana na habari kutoka K24 TV kuwa kuna bwana na bibi wamenasiana walipokuwa wanafanya mapenzi siku shangaa kwa ilo tukio ila nashangaa mbona matukio Mengi ya ivi yapo Kenya?
Alafu walikua hawajavaa hata mask za kujilinda na ukimwi wala corona alafu ni mtu na mke wa mtu.
Au hii ndio Sababu ya wao kuogopa Corona sana mana inaonekana kinga zao zina CD4 chache?