Mkuuuuuuu wanakipaji waache kabisa
Nimekaa mara miaka miwili niliyoona yanatosha sanaa
Kile kuna jamaa alitoka Dar wako ndugu, wakaanza kuchafua mabinti. Aikutosha wakanza wake za watu ndugu asikwambie mtu
Ni siri ya kile kijiji na tuliokuwepo na ndugu za wahuska, balaa
Kaka mmoja alimfumania mkewe na jamaa akaita majirani jama akaomba radhi yakaisha akatoa na hela jama akakataa, akamwonya asirudie tena na tena
Ndugu mwezi ilikuwa mrefu jama alileta bibi toka Kenya akafanya yake pale ndan mke akiingiliwa tu atoi huuyo jamàa mpaka bibi aitwe toka Kenya
Wiki mbili nyingi yuko lodge mzigo umenasa. Kaka acha, sikia kwa watu haya mambo. Aliteseka aliteseka balaaa sik tatu walilipa milioni kadhaa, ndugu bibie akaja toka Kenya akawatenganisha
Haoo wasiikie tu sio kabisa, dunian unaweza kuwa na history ukifanya mchezo,
Mojà ya masharti kabla ya kukutenganisha bibi lazima mumchukue video na mumpatie akiwa anaondoka