Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mozambique hawakuwepo? Una uhakika unaangalia Afcon?Ndg zangu sisi wengine sofa tunaiona tuuu.
Tanzania tulipitaje kwenda wakati Mozambique, Uganda, Kenya nakadhalika wengine hatuliwaona afcon.. sisi tulipataje nafasi
Nawasilisha
Kuuliza 'kwa nini' inaonekana wewe ni shabiki wa rede na sio soka. Sawa na uulize kwa nini Azam hawashiriki CAF champions .Shabiki wa mpira hawezi kuuliza hilo swali la 'kwa nini' sababu inajulikana ili ushiriki mashindano lazima ufuzu kushiriki hayo mashindano. Kiufupi endelea kushabikia rede tu.Mkuu ukiwa umesoma uzi wa mleta hoja usingehoji swali hilo
Na huyu ungemjibu nn, si ndio ungemtukana bure. Jifunze kuwa na heshimaKuuliza 'kwa nini' inaonekana wewe ni shabiki wa rede na sio soka. Sawa na uulize kwa nini Azam hawashiriki CAF champions .Shabiki wa mpira hawezi kuuliza hilo swali la 'kwa nini' sababu inajulikana ili ushiriki mashindano lazima ufuzu kushiriki hayo mashindano. Kiufupi endelea kushabikia rede tu.
Timu zinazoshiriki ni 24 tu na Afrika kuna zaidi ya nchi 50Ndg zangu sisi wengine soka tunaiona tuuu.
Tanzania tulipitaje kwenda wakati Mozambique, Uganda, Kenya nakadhalika wengine hatuliwaona afcon.. sisi tulipataje nafasi
Nawasilisha
HawakufuzuNdg zangu sisi wengine soka tunaiona tuuu.
Tanzania tulipitaje kwenda wakati Mozambique, Uganda, Kenya nakadhalika wengine hatuliwaona afcon.. sisi tulipataje nafasi
Nawasilisha
Kubwa tuKumbe tumepiga hatua.