BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Kenya Mwaka jana mwanzoni au Mwaka juzi walizindua mtaala wao mpya wa CBC yaani Competetive Based curriculum.
Huu mtaala wao mpya mtoto anapimwa kwa uwezo alio nao na si kwa uwezo wake wa kukariri na kuja kujibu mtihani.Kipaji binafisi cha mtoto ndo kinapimwa, hakuna kushindanisha mashule tena.
Kingine ni kwamba kwenye mtaala huu hakutakuwa na kitu kinaitwa mitihani ya Taifa ya kushindanisha wanafunzi.
Kwenye Mtaala huu wanafunzi watapimwa uwezo wao na walimu wao kwa vigezo vilivyo wekwa.
Sisi huku tunaabudu mashindano ya Div 1 sujui 10 bora na kadhalika, tunaabudu wa kwanza na Wa mwisho ilihali tukijua fika tuna mitala ya ajabu balaa hii mitala ndo unakuta mtoto yuko Secondary ila hajui kusoma wala kuandika na amefaulu
Ndo maana hizi 10 tena sijui huwezi zikuta mtaani zikifanya mambo ya kitop 10.
Siku tukiwa na mitaala mipya na kufuta mitihani ya Kitaifa ndo hapo ubora wa elimu utakapo onekana.
Kenya sio wajinga kuondokana na hii biashara ya mitihani ya Taifa wamefanya utafiti wakaona uhuni na usanii wa mashule.
Jiulize hizo 10 tena nje ya Darasana kuna kitu zinaweza fanya? Top tena wana exceptional tofauti na hii ya kuwa wamesolve Past paper mwaka mzima na wanaingia wanakutana na maswali yale yale?
Huu mtaala wao mpya mtoto anapimwa kwa uwezo alio nao na si kwa uwezo wake wa kukariri na kuja kujibu mtihani.Kipaji binafisi cha mtoto ndo kinapimwa, hakuna kushindanisha mashule tena.
Kingine ni kwamba kwenye mtaala huu hakutakuwa na kitu kinaitwa mitihani ya Taifa ya kushindanisha wanafunzi.
Kwenye Mtaala huu wanafunzi watapimwa uwezo wao na walimu wao kwa vigezo vilivyo wekwa.
Sisi huku tunaabudu mashindano ya Div 1 sujui 10 bora na kadhalika, tunaabudu wa kwanza na Wa mwisho ilihali tukijua fika tuna mitala ya ajabu balaa hii mitala ndo unakuta mtoto yuko Secondary ila hajui kusoma wala kuandika na amefaulu
Ndo maana hizi 10 tena sijui huwezi zikuta mtaani zikifanya mambo ya kitop 10.
Siku tukiwa na mitaala mipya na kufuta mitihani ya Kitaifa ndo hapo ubora wa elimu utakapo onekana.
Kenya sio wajinga kuondokana na hii biashara ya mitihani ya Taifa wamefanya utafiti wakaona uhuni na usanii wa mashule.
Jiulize hizo 10 tena nje ya Darasana kuna kitu zinaweza fanya? Top tena wana exceptional tofauti na hii ya kuwa wamesolve Past paper mwaka mzima na wanaingia wanakutana na maswali yale yale?