Habari zenu
Ili nijukwaa la celebrities Leo nimeamua nije na hii hoja kwenu.kati ya wasanii ninaowakubali Tanzania kimziki kiba ni mmoja wapo lakini nje ya mziki wake simkubali.Leo wakati nikisikiliza interview ya kiba times fm alinishangaza kiba Kama kawaida yake kwenye interview nyingi anazofanya aliulizwa swali na mtangazaji "unajisikiaje harmo kukufollow insta? Kiba akajibu watu wengi wananifollow na wengine siwajui.
Mtangazaji hakulizika na jibu la kiba ikabidi mtangazaji alikazie swali lake ndipo kiba akapaniki mtangazaji akaamua aipotezee.
Mtangazaji akamuuliza swali lingine kwanini wakati wa msiba wa Godzilla alikataa kusalimiana na harmo kiba akajibu " wakati harmo anaingia kulitokea vurugu so why sikusalimiana nae" Mtangazaji akacheka hata me jibu lake lilinichekesha kidogo hiyo vurugu anayoizungumzia kiba ni ipi? cos kwenye ule msiba hakukuwa vurugu yoyote.
Na Sio tu interview hii pekee kiba akiulizwaga kuhusu harmo lazima awe mbogo nakumbukaga Kuna interview moja alihojiwa na Riki media tv ya online alivyoulizwa tu kuhusu harmo alikimbia interview.
Sijajua kwanini kiba amuogopa harmo je ni kwasababu ya imani ya kishirikina aliyonayo kiba au ni tetesi iliyoko mtaani ya nafasi yake ya 2 kuchukuliwa na harmo au tatizo ni Nini?
Ili nijukwaa la celebrities Leo nimeamua nije na hii hoja kwenu.kati ya wasanii ninaowakubali Tanzania kimziki kiba ni mmoja wapo lakini nje ya mziki wake simkubali.Leo wakati nikisikiliza interview ya kiba times fm alinishangaza kiba Kama kawaida yake kwenye interview nyingi anazofanya aliulizwa swali na mtangazaji "unajisikiaje harmo kukufollow insta? Kiba akajibu watu wengi wananifollow na wengine siwajui.
Mtangazaji hakulizika na jibu la kiba ikabidi mtangazaji alikazie swali lake ndipo kiba akapaniki mtangazaji akaamua aipotezee.
Mtangazaji akamuuliza swali lingine kwanini wakati wa msiba wa Godzilla alikataa kusalimiana na harmo kiba akajibu " wakati harmo anaingia kulitokea vurugu so why sikusalimiana nae" Mtangazaji akacheka hata me jibu lake lilinichekesha kidogo hiyo vurugu anayoizungumzia kiba ni ipi? cos kwenye ule msiba hakukuwa vurugu yoyote.
Na Sio tu interview hii pekee kiba akiulizwaga kuhusu harmo lazima awe mbogo nakumbukaga Kuna interview moja alihojiwa na Riki media tv ya online alivyoulizwa tu kuhusu harmo alikimbia interview.
Sijajua kwanini kiba amuogopa harmo je ni kwasababu ya imani ya kishirikina aliyonayo kiba au ni tetesi iliyoko mtaani ya nafasi yake ya 2 kuchukuliwa na harmo au tatizo ni Nini?