Elections 2010 Kwanini Kikwete aapishe wakati alikuwa rais hata wakati tunapiga kura?

Elections 2010 Kwanini Kikwete aapishe wakati alikuwa rais hata wakati tunapiga kura?

NINAHASIRA

Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
58
Reaction score
9
Kwani tanzania ilikuwa haina rais,waziri mkuu na mawaziri? Sasa anayeapishwa c alikuwa rais hata cku tunapiga kura,matokeo hayajatangazwa .............................mi sielewi
 
Ndo katiba ya nchi yetuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Kwani tanzania ilikuwa haina rais,waziri mkuu na mawaziri? Sasa anayeapishwa c alikuwa rais hata cku tunapiga kura,matokeo hayajatangazwa .............................mi sielewi

Soma katiba kaka , kila kitu kipo wazi kule mkuu
 
Back
Top Bottom