Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hili swali najua wengi tumekuwa tukijiuliza bila kupata majibu sahihi.
Chama Cha Mapinduzi kiliundwa tarehe 05 February 1977 kutokana na kuunganishwa kwa vyama vikuu vya Tanu kwa Tanganyika na ASP kwa Zanzibar.
Mpaka hapo hatujaona mapinduzi yoyote kufanyika.
Kama kuna anayeweza kuelewesha nitashukuru
Chama Cha Mapinduzi kiliundwa tarehe 05 February 1977 kutokana na kuunganishwa kwa vyama vikuu vya Tanu kwa Tanganyika na ASP kwa Zanzibar.
Mpaka hapo hatujaona mapinduzi yoyote kufanyika.
Kama kuna anayeweza kuelewesha nitashukuru