Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Huu mpira wetu wa bongo una changamoto sana, leo kwenye mchezo wa Stars na Niger golini ameanza kipa namba tatu wa Simba Beno Kakolanya.
Halafu kipa namba 2 Ally Salim hata kufikiriwa kuitwa Stars imeshindikana, ingawa Ally Salim ndiye amedaka mechi zote za kumalizia msimu za Simba ikiwemo na Yanga na mechi kali na yenye tension kubwa dhidi ya Wydad Casablanca.
Kwanini Beno anakaa benchi Simba halafu Stars anaanza?
Kwanini Beno ni kipa namba 3 Simba lakn Stars ni kipa namba moja.
Kwanini Ally Salim hata benchi haitwi Stars lakini Simba anaaminika kupita Beno Kakolanya.
Viongozi wetu wana weledi wa soka kweli au mchezaji akidai maslahi imekula kwake?
Je Beno kudaiwa kujiunga na Singida Fountain ni sababu za kusoteshwa benchi Simba ili kiwango kife.
Sasa kwa mtaji huo kuna kipa mwingine hapa nchini wa kumnyima namba Beno Kakolanya ukiondoa Aish Manula.
Je, Simba hawaoni kumwachia Beno aondoke ni udhaifu wa hali ya juu kwao na watajuta?
Ngoja tuone
Halafu kipa namba 2 Ally Salim hata kufikiriwa kuitwa Stars imeshindikana, ingawa Ally Salim ndiye amedaka mechi zote za kumalizia msimu za Simba ikiwemo na Yanga na mechi kali na yenye tension kubwa dhidi ya Wydad Casablanca.
Kwanini Beno anakaa benchi Simba halafu Stars anaanza?
Kwanini Beno ni kipa namba 3 Simba lakn Stars ni kipa namba moja.
Kwanini Ally Salim hata benchi haitwi Stars lakini Simba anaaminika kupita Beno Kakolanya.
Viongozi wetu wana weledi wa soka kweli au mchezaji akidai maslahi imekula kwake?
Je Beno kudaiwa kujiunga na Singida Fountain ni sababu za kusoteshwa benchi Simba ili kiwango kife.
Sasa kwa mtaji huo kuna kipa mwingine hapa nchini wa kumnyima namba Beno Kakolanya ukiondoa Aish Manula.
Je, Simba hawaoni kumwachia Beno aondoke ni udhaifu wa hali ya juu kwao na watajuta?
Ngoja tuone