Kwanini kipigo cha kutumia kiwiko kiliitwa 'Kupiga kipepsi'

Kwanini kipigo cha kutumia kiwiko kiliitwa 'Kupiga kipepsi'

Quemu

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2007
Posts
984
Reaction score
133
Zamani, kwenye michezo kama mpira wa miguu, mpira wa kikapu, nk; mchezaji akipigwa kwa kutumia kiwiko (elbow) tulikuwa tunasema amepigwa "kipepsi." Kwa nini tuliipa "kiwiko" jina la "kipepsi"?
Je msemo huo una uhusiano wowote na kinywaji cha pepsi?
 
Back
Top Bottom