Quemu JF-Expert Member Joined Jun 27, 2007 Posts 984 Reaction score 133 Apr 14, 2008 #1 Zamani, kwenye michezo kama mpira wa miguu, mpira wa kikapu, nk; mchezaji akipigwa kwa kutumia kiwiko (elbow) tulikuwa tunasema amepigwa "kipepsi." Kwa nini tuliipa "kiwiko" jina la "kipepsi"? Je msemo huo una uhusiano wowote na kinywaji cha pepsi?
Zamani, kwenye michezo kama mpira wa miguu, mpira wa kikapu, nk; mchezaji akipigwa kwa kutumia kiwiko (elbow) tulikuwa tunasema amepigwa "kipepsi." Kwa nini tuliipa "kiwiko" jina la "kipepsi"? Je msemo huo una uhusiano wowote na kinywaji cha pepsi?