Naona watu wengi walio soma sana wakidharau lugha ya kiswahili,wakisema kuwa ni lugha duni. Hivyo basi muongozo wangu ni kwamba lazima tujisifie kwanza lugha yetu sisi wenyewe na lazima tujitahidi kuzungumza kwa lugha ya kiswahili na siyo kiswa-english
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.