A
Anonymous
Guest
Unapotokea mjini kwenda Mbezi, ukiwa eneo la KIMARA STOP OVER, kuna kituo cha mafuta kinachoitwa RUPIA.
Wakati wa Serikali ya awamu ya 5 nyumba nyingi na vituo vingi vya mafuta vilibomolewa ili kupisha ujenzi wa barabara.
Mara tu Serikali ya awamu ya Sita ilipoingia tulishangaa kuona kituo kile kikianza kujengwa. Awali tulidhani ni cha Serikali, lakini kilipokamilika tukagundua ni cha mtu binafsi. Tunajiuliza:
Wakati wa Serikali ya awamu ya 5 nyumba nyingi na vituo vingi vya mafuta vilibomolewa ili kupisha ujenzi wa barabara.
Mara tu Serikali ya awamu ya Sita ilipoingia tulishangaa kuona kituo kile kikianza kujengwa. Awali tulidhani ni cha Serikali, lakini kilipokamilika tukagundua ni cha mtu binafsi. Tunajiuliza:
- Kwanini kikajengwa pale, katikati kabisa ya barabara mpya na ya zamani? yaani kituio kipo katikati ya barabara kuu na service road.?