Kuna siku waliwahi kulalamikia kwa ni gharama au umeamua kufurahisha moyo wakoAngalia gharama mkuu ya kuipeleka timu huko na kuanzisha ujenzi wa uwanja wao kipi kiwe kipaumbele?
Iwapo pesa ni ya klabu ni sahihi kwa usemalo lkn kama ni pesa ya mtu.basi pesa inatumika sawa na hitaji la huyo atowae.Angalia gharama mkuu ya kuipeleka timu huko na kuanzisha ujenzi wa uwanja wao kipi kiwe kipaumbele?
nafikiri anapendekeza waweke kambi hapo alipozea wakiwekaka kambi nyuma yake,Kwa mfano, wewe ulikuwa unapendekeza waweke wapi Kambi?
Wakuu, japo tunapenda kuwa kama Ulaya lakini hili la timu ya Yanga kuweka kambi nchini Uturuki haliingii akilini. Klabu yenyewe haina uwanja wa mazoezi lakini inatumia pesa nyingi kwenda huko hata kwa mechi inayochezwa hapa hapa! Ama pana zaidi ya mazoezi?
Upatikanaji wa tende na haruwa kule Uturuki ni easy sana compared to Tanzania. Hilo tu!
Sababu ni ulaya tu, na Jerry ametoa onyo kwa wanaopenda kuizodoa Yanga eti haina uwanja, wakati wao hufanyia mazoezi ulaya. Huku wengine wakienda ulaya wanaenda kucheze mpira wa kulipwa.
Wewe unajua Uturuki iko wapi, Afrika, Asia, au Amerika?Uturuki ni ulaya Mkuu?