Kwanini ktk awamu ya tano ajira binafsi na umma zilikata

Unaumizwa Sana na Lissu. Na bado. Lissu kawabamiza leo hamna la kuongea.
Sasa hapo nimemsema Lissu au kusimulia tu kilichotokea.

Si uende kuangalia mkutano wa CDM uone wananchi wakivyokuwa wanataka viongozi wa CDM waongelee bei ya chakula.

Lissu akupanga kuongelea mambo ya gharama za maisha alipotaka kuaga wananchi wakawa hawana furaha bila ya yeye kugusia shida zao. Ikamlazimu ajibu kiu yao.

Si ukasikilize
 
Sawa, kwaheri ndugu.
 
That was an ..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…